Picha: Miji ya Luanda nchini Angola

Picha: Miji ya Luanda nchini Angola

Tanzania sisi miundombinu yetu tulishaiharibu toka enzi za kale sasa hivi hatuwezi kuwa na sehemu kama hizo hata iweje.Labda tuweke Dozer toka Kimara mpk Ferry then tuanze fresh.

Mkuu nakubaliana na wewe; road reserve zetu kama za kupitisha farasi; inasikitisha hata sehemu ambazo hazijajengwa sana kama kibaha na kuendelea mbele , bado miliki ya barabara ni ndogo; wanasubiri ghorofa ziinueke walipane fidia....
 
Ladies and gentlemen, We have a long way to go.

Nilikuwa nahesabu Nairobi Kenya kama Next to Johannesburg, kumbe kuna Luanda Angola, itabidi niende kujifunza.
Ila changamoto moja waliyo nayo ni kwamba soko limeshikiliwa na wachina, kuanzia uchoraji na ujenzi.
 
Walikuwa kwenye vita kupigania uhuru wao, Tanzania imewasaidia kutoka, lakini sisi vichwa vyetu Nazi tupu. Kisingizio ati Angola wana mafuta. Mbona sie tuna madini na Tanzanite ikiwa hapa dunia nzima>???? Tusubiri gesi, tayari nyoka wajanja wameshapeleka makengeza yao ati fulsa mpya. Wametuzidi hata bustani? Flyovers sisi tunaona jambo jipya wakati wenzetu ni kawaida tu?
 
RRONDO naomba uje hapa na dar yako

Seriously?! Unaniita eti unaiponda far kwa kuifananisha na Luanda Angola! Wewe no muangola?! Mimi no means DSM and I'm proud of DSM. Nishafika miji babkubwa zaidi ya Luanda ndugu.
 
wVURAkI.jpg

Mafuta yamechangia ila si kwa kila kiti, hapa mjini watu wakiwekewa viti kama hivi vya kukaa, wataving'oa waswahili kwenda kwenda vyuma chakavu.

Swala ninaloliona lingine ni ustaarabu wa watu wao ni mzuri. watu wanaheshimu vitu walivyowekewa, hawaviharibu kama wabongo.

Sijui kwanini somo la uasafi wa mazingira na ustaarabu lisifundishwe shule ya msingi?
 
Ukimaliza hizi naomba na zile picha za mbagala yao , Tandale yao uzitupie

Nikisema nitupie picha za dar mjini ( posta ) unaweza sema uko paradiso lkn hayo sio maisha halisi ya mkaaz wa dar

Kiposta chenyewe unakizunguka dakika 15 na boda boda umekimaliza sio kwa angola wamepata uhuru mwaka 1975 na wakawa vitan tena mpka 2000 hiv lakin miaka 10-15 wako hapo walipo sie wa kila siku kulalamika with No action tunakulana nyama pia Watanzania weng wana Lack of exposure.
 
Dah Tz mijitu inaiba badala ya kujenga nchi yao ivi viongozi wakienda nchi kama izo wanajiskiaje??
 
Hawa jamaa si juzi tu walikuwa wanachinjana chini ya Jonas Savimbi???

Vita ina umhimu mkubwa sana katika kufanya mageuzi ya kiuchumi na kisiasa!

Ni vigumu kunielewa lakiji jaribu kufikiria mara mbili juu ya hili!
 
Seriously?! Unaniita eti unaiponda far kwa kuifananisha na Luanda Angola! Wewe no muangola?! Mimi no means DSM and I'm proud of DSM. Nishafika miji babkubwa zaidi ya Luanda ndugu.

Kwendaaaa hata kama umefika miji babkubwa lakin ukweli uko pale pale Proud of Dsm(kwa saut ya kubana pua) thubutuuuu Dar na uchafu wa jangwani pale ukaaji mbov wa tandale mpka leo tunajenga roads mpya two ways wakat watu wana 4-5 ways ring roads kama ubungo tazara magomen hakuna et DSM posta kunuka samaki uwanja wa ndege ka banda la Kuku.pfuuuuuuuu
 
wVURAkI.jpg

Mafuta yamechangia ila si kwa kila kiti, hapa mjini watu wakiwekewa viti kama hivi vya kukaa, wataving'oa waswahili kwenda kwenda vyuma chakavu.

Swala ninaloliona lingine ni ustaarabu wa watu wao ni mzuri. watu wanaheshimu vitu walivyowekewa, hawaviharibu kama wabongo.

Sijui kwanini somo la uasafi wa mazingira na ustaarabu lisifundishwe shule ya msingi?

Today take a walk hii DART AMBACHO NI KITU KIGENI HAPA KWETU HATA MDAA HUU ROAD IMECHOKA JUZ NIMEPITA NA GAR PALE KIMARA MWISHO ROAD IKO KAMA YA RUVU IMEUMUKA TAYAR KISA VILE VIKOBA KUKATISHA LILE DARAJA.kwenye vivuko na zile bus stop wameweka vile vizuiz kama vinguzo watu wamebomoa
TZ NDIO NCHI YA KWANZA HIGHWAYS ZINA MATUTA NA HILI HALIPO DUNIANI ONLY IN TZ #Kero
 
Mkuu hela za dhahabu na almasi huwezi kulinganisha na za gesi na mafuta. Kwa makadirio ya benki ya dunia, TZ itakuwa inaingiza wastani wa dola bilioni 3 kwa mwaka (kumbuka bajeti yetu ya mwaka huu wa fedha ni dola bilioni 12)!
Halafu hela za dhahabu na almasi zilikuwa zinaingizwa moja kwa moja kwenye bajeti ya nchi (budget financing), hivyo wananchi wengi walikuwa hawaoni mafanikio yake.
Hela za mafuta na gesi huwez kufanya hivyo unless unataka kuua uchumi wa nchi. Lazima kuundwe mfuko maalum (sovereign wealth fund)

No matter what you say mkuu bado ni kujitafutia maradhi tu kuwa optimistic kiasi hicho kwa aina ya uongozi tulionao. Nigeria pia wana mafuta tena mengi kuliko hayo tunayoyatarajia sisi yamewasaidia nn so far?. I have reached a point ambapo I'm almost saying kwamba natural resources kwa Africa ni almost curse na si blessing kama ambavyo ilipaswa kuwa. I can give you numbers na enough case studies kusupport hapo niliposimamia.
 
No matter what you say mkuu bado ni kujitafutia maradhi tu kuwa optimistic kiasi hicho kwa aina ya uongozi tulionao. Nigeria pia wana mafuta tena mengi kuliko hayo tunayoyatarajia sisi yamewasaidia nn so far?. I have reached a point ambapo I'm almost saying kwamba natural resources kwa Africa ni almost curse na si blessing kama ambavyo ilipaswa kuwa. I can give you numbers na enough case studies kusupport hapo niliposimamia.
Nigeria may be experiencing political tiffs lakini kiuchumi ile nchi ni heavyweight. It is ranked 26th in the world in terms of GDP (nominal: 30th in 2013 before rebasing, 40th in 2005, 52nd in 2000), and is the largest economy in Africa (based on rebased figures announced in April 2014). It is also on track to become one of the 20 largest economies in the world by 2020. Halafu uzuri wa Nigeria ni kuwa uchumi wake uko diversified vizuri kwa hiyo hawategemei mafuta tu, sio kama nchi zingine!
Badala ya kuisema Tz vibaya tuendelee kuiombea
 
Kwendaaaa hata kama umefika miji babkubwa lakin ukweli uko pale pale Proud of Dsm(kwa saut ya kubana pua) thubutuuuu Dar na uchafu wa jangwani pale ukaaji mbov wa tandale mpka leo tunajenga roads mpya two ways wakat watu wana 4-5 ways ring roads kama ubungo tazara magomen hakuna et DSM posta kunuka samaki uwanja wa ndege ka banda la Kuku.pfuuuuuuuu

Mkuu Mtu aliyetembea miji mikubwa hawez kuja hapa na kuisifia dar huyo atakuwa ametembea kwa picha
 
Pamoja na civil war za muda mrefu lakini wametuacha mbali sana sisi "kisiwa cha amani"
hata sisi tukipata vita mzito
tukatoa damu,machozi na kamasi za kutosha
tutapata akili
lakini kwa hizi bla blah blah
vitukuu vyetu vitatuona tulikuwa
mashoga hasa,yaani was.enge
 
Mkuu hela za dhahabu na almasi huwezi kulinganisha na za gesi na mafuta. Kwa makadirio ya benki ya dunia, TZ itakuwa inaingiza wastani wa dola bilioni 3 kwa mwaka (kumbuka bajeti yetu ya mwaka huu wa fedha ni dola bilioni 12)!
Halafu hela za dhahabu na almasi zilikuwa zinaingizwa moja kwa moja kwenye bajeti ya nchi (budget financing), hivyo wananchi wengi walikuwa hawaoni mafanikio yake.
Hela za mafuta na gesi huwez kufanya hivyo unless unataka kuua uchumi wa nchi. Lazima kuundwe mfuko maalum (sovereign wealth fund)
Bora ujibe moyo haswa kama wewe ni mtendaji wa serikali hii iliyoshindwa kwa miaka 50+
 
Nigeria may be experiencing political tiffs lakini kiuchumi ile nchi ni heavyweight. It is ranked 26th in the world in terms of GDP (nominal: 30th in 2013 before rebasing, 40th in 2005, 52nd in 2000), and is the largest economy in Africa (based on rebased figures announced in April 2014). It is also on track to become one of the 20 largest economies in the world by 2020. Halafu uzuri wa Nigeria ni kuwa uchumi wake uko diversified vizuri kwa hiyo hawategemei mafuta tu, sio kama nchi zingine!
Badala ya kuisema Tz vibaya tuendelee kuiombea

Mkuu sijaisema vibaya Tanzania ila najaribu kukueleza kwamba shida yetu si ukosefu wa natural resources kwani kwa hizo ambazo tumekwisha zivuna tu kiuchumi tulipaswa kuwa may be 10 times ya vile tulivyo. Kuna kitu cha ziada kinapaswa kufanyika ili tuendelee kiuchumi ambacho ni zaidi ya kugundua natural resources. Mimi si mmoja ya wanaoshangilia kunapogunduliwa madini Tanzania kwani wanaonufaika ni wachache sana (few elites). Nikupe mfano, hivi kama ulikuwa na pesa ya kuweza kununua gari ukaishia kununua baiskeli kwa sababu ya mipango yako mbovu, hivi ni sahihi kutangaza kwamba ukipata tena pesa ya kukukuwezesha kununua gari utanunua ndege kabisa.
 

Brutality in Angola. (warning: video inaonyesha ukatili)



 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom