Ha ha ha haaaaa..Lumumba viroho PAAA
Tatizo unafiki wenu ndio unawasumbua, nenda ukajionee mwenyewe Nairobi hukofake hiyo, huyo siyo kupunga mkono leo wala kesho!
Nilijua tu hii picha itawashtua na kuwaumiza sana... Lakini kumbukeni nje ya siasa we are all brothers and sistersfake hiyo, huyo siyo kupunga mkono leo wala kesho!
Sawa bana.muhimbili ni zaidi ya nairobi!
Tanzania,Baada ya jana Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kusema kuwa wananchi wanaanza kuuona na kusikia sauti ya Mbunge wa Singida Mashariki Mhe. Tundu Lissu.
Hii hapa picha yake akioneka na yupo hospitalini, jijini Nairobi
Mwombee kwa Mungu usimnenee neno lolote bayaNatamani nikuseme neon baya naogopa ban