Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 1,745
- 1,779
Woooow..! God is good all the time.AMEEEN
Jamani wana Lumumba msaidieni mwenzenu yuko vibaya sanaHuwo ushauri ulipaswa uwape hao wanaosambaza picha za Uongo, lengo ni nini haswa? Mnasambaza picha ambazo siyo za kweli ili nini? Mnamdanganya nani? Sidhani hata kama Tundu Lisu mwenyewe angependa hivi mnavyomfanyia, yaani kumtumia kiasi hiki bila hata chembe ya Utu!
That is a Good DevelopmentBaada ya jana Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kusema kuwa wananchi wanaanza kuuona na kusikia sauti ya Mbunge wa Singida Mashariki Mhe. Tundu Lissu.
Hii hapa picha yake akioneka na yupo hospitalini, jijini Nairobi
Usingeandika uliyoandika basiHuwo ushauri ulipaswa uwape hao wanaosambaza picha za Uongo, lengo ni nini haswa? Mnasambaza picha ambazo siyo za kweli ili nini? Mnamdanganya nani? Sidhani hata kama Tundu Lisu mwenyewe angependa hivi mnavyomfanyia, yaani kumtumia kiasi hiki bila hata chembe ya Utu!
Kuweni makini na maisha ya watu, huyo jamaa amepigwa risasi zaidi ya 30, hivyo onyesheni hata Ubinadamu kidogo kwa Familia yake na watu wake wa karibu!
Jamani wana Lumumba msaidieni mwenzenu yuko vibaya sana
Machozi ya furaha yamenitoka kwaa kweli.Baada ya jana Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kusema kuwa wananchi wanaanza kuuona na kusikia sauti ya Mbunge wa Singida Mashariki Mhe. Tundu Lissu.
Hii hapa picha yake akioneka na yupo hospitalini, jijini Nairobi
Bashite limekushuka shuuuu!Mimi kwangu yote sawa tu, ila najaribu kujiweka nafasi ya Familia yake na watu wa karibu kama wanapenda yote haya mnayoyafanya!
Mungu ni mwingi wa rehmaBaada ya jana Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kusema kuwa wananchi wanaanza kuuona na kusikia sauti ya Mbunge wa Singida Mashariki Mhe. Tundu Lissu.
Hii hapa picha yake akioneka na yupo hospitalini, jijini Nairobi
Kama swali kwenye Dodoso wewe ni lile "Huusiki" pita na miafake hiyo, huyo siyo kupunga mkono leo wala kesho!
Mbona ana mguu mmoja?
All the time.God is Great.