CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,475
Jamaa ni jembe saaaaana roho nzuri mno anapiga kazi KWERI KWERI , huyu anatakiwa apewe u waziri mkuu kabisa ,hakika wana tarime mmepata jembe embu angalia hapa anavyoonyesha upendo kwa wana jimbo wake,mbunge oyee
Jamaa anajali sana , ana utu kupita kiasi
Jamaa anajali sana , ana utu kupita kiasi