Dah kweli Dsm ina wagonjwa wa akili maelfu na maelfu hujui kwamba hii picha tayari ishampa uwaziri subiri picha nyingine coming soon, wanyonge oyeeeeKama ushakula vyake ili umpigie debe pambana ila kwa huku jf umeangukia pua upat kitu
Punguzeni makasiriko jameniUjinga ujinga mtupu
Sasa akiokota makopo ndy itawasaidia nini hao waokota makopo?Punguzeni makasiriko jameni
Posho anakula peke yake,Jamaa ni jembe saaaaana roho nzuri mno anapiga kazi KWERI KWERI , huyu anatakiwa apewe u waziri mkuu kabisa ,hakika wana tarime mmepata jembe embu angalia hapa anavyoonyesha upendo kwa wana jimbo wake,mbunge oyee
Jamaa anajali sana , ana utu kupita kiasi
View attachment 1971273
Huo ni upendo wa Agape kwa wanyongeSasa akiokota makopo ndy itawasaidia nini hao waokota makopo?
Nani kwasababisha wawe wanyongeHuo ni upendo wa Agape kwa wanyonge
MITANDAO yote ya kijamii leo watu wanamkubali sana soon anapewa uwaziriDok apo apa!Yaan kufanya kazi na mikamera ndio unaona ana piga kaaaaazi!!!
Hujui lolote kuhusu watoto wanaoshi na kufanya kazi mitaani.Jamaa ni jembe saaaaana roho nzuri mno anapiga kazi KWERI KWERI , huyu anatakiwa apewe u waziri mkuu kabisa ,hakika wana tarime mmepata jembe embu angalia hapa anavyoonyesha upendo kwa wana jimbo wake,mbunge oyee
Jamaa anajali sana , ana utu kupita kiasi
View attachment 1971273