Kumbe Mbowe baunsa wake (anaowaita body guard) wanaishia kwenye mikutano ya CDM,press conference na maandamano tu mbele ya JK ni raia tu.
Kwenye kufungua barabara wa kwanza, leo hii kuna hospitali hazina hata gloves achilia mbali asprin. Akisikia watu wanagoma kuhusu ubovu wa administration yake huyooo anapanda ndege.