salmar
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 799
- 363
Mbowe ni kijana wa JK humu JF Pro-Chadema povu linawatoka ovyo mwenye chama Mbowe yupo katulia kwa JK anawachora tu.
Hahaaaa nimeipenda kamanda mbowe akiwa na amir jesh mkuu.....sipati picha angekua zittoo heheeeee pangechimbika