Optatus Barnabas
Member
- Sep 18, 2012
- 58
- 1
un-commented!
Ebu jiulize bila miundombinu bora ya barabara utaweza kufika hospitali kirahisi? usambazwaji wa dawa na vifaa utafika vipi kwenye zahanati,vituo vya afya na hospitali? Je madaktari na wauguzi wanapenda kukaa sehemu ambazo hazifikiki kwa barabara? kama mpaka hapo haujautambua umuhimu wa barabara kiuchumi na kijamii ni maombi pekee yatakayokusaidia.Kwenye kufungua barabara wa kwanza, leo hii kuna hospitali hazina hata gloves achilia mbali asprin. Akisikia watu wanagoma kuhusu ubovu wa administration yake huyooo anapanda ndege.
Huyo mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama kuna siku ataumeza huo mkoa. Anajilia tu hata hafanyi mazoezi. Naona ndoa ya Selasini na Kikwete kama inanukia. Yangu macho na masikio baba yenu.