PICHA: Mbowe ampongeza rais Kikwete...

so unataka akaombe mochwari serikali kuu? kwani machame hosp na uswaa kuna umbali gani??? msisitizen akomalie mfuko wa barabara wa jimabo ili iyo bara bara toka masama kuja kalali iwekewe lami na pia ya nkuu lyamungo vinginevyo atabaki kupita angani daily nyie mkivuka kikafu kwa miguu......

Wewe dada unaonekana umetoka maeneo ya kwetu kama unaifahamu barabara ya Mkuu Lyamungo mimi ni home boy wako.
 
Mbowe anamsifia JK kwa sababu angalau amefanya HUU UPUUZI KIDIGO, ukilinganisha malia saili za nchi na hiki kinacho fanyika leo ni upuuzi mtupu, lakini kwa sababu nchi hii imesheheni mabwege wakusifia upuuzi ndiyo maana mpaka leo tuna chama cha ajabu kama hiki, tunatumiwa kwa ufinyu wetu wa akili.

MUNGU WA BARIKI WATANZANIA WASIOJITAMBUA WAWE NA AKILI YA KUJITAMBUA ANGALAU KIDOGO... KUSEMA KWELI ROHO INANIUMA SANA.

BAADA YA MIAKA KWENDA NDIYO MTAKUJA KUGUNDUA MMEFANYWA WAJINGA KIASI GANI. LAKINI KILA KITU KITAKUWA KIMEISHA KWENDA. MTABAKI KULIA NA KUSAGA MENO... LAKINI ITAKUWA MAJUTO NI MJUKUU. ACHENI KUCHEKA UPUUZI MDOGO UNAOFANYIKA. AMKENI MUILILIE NCHI YENU KWA AJILI YENU NA VIZAZI VIJAVYO... MTAKUJA KUNIKUMBUKA...
 
mikelele mengiii, wakikutana nae ovyoooooooooo

so ungekuwa ww ungefanyaje hapo??? tumia akili sio kila jambo lazma upige kelele, ukipgia jambo kelele likatelekezwa kwanini usisifie?? kelele zote wanazopiga ni ili serikali iliyopo madarakani iwaletee watanzania maendeleo na co mboyoyo zako!!!
 
Mkuu Ritz,baada ya kumtambua kama rais,kugonganao chai ikulu, kitakachofuata ni lift za ulaya ndani ya gulf stream hapo ndio mwisho wao magwandwa.

kwako wewe siasa ni kama mpira wa SIMBA na YANGA!

wewe ni aina ya watanzania ambao hawatakiwi kuishi hadi sasa hivi....ugomvi sio agenda ya vyama vya siasa....maendeleo ndiyo....

tutaendelea kujadiliana na kubishana kwa best interest ya taifa letu..si uccm na ucdm umeelewa?
 
Namuunga mkono BEN SAANANE AWE MBUNGE WE2 WA ROMBO KWA NGUVU ZOTE

Magesi,
-Mkuu usitake kuua watu presha

Pia kuna mtu anadai hapo juu kwamba anajua nina nia ya kugombea ubunge Rombo.Hii ni ramli kwani siku zote naamini katika taasisi.Nimekua nikisizitiza umuhimu wa kukijenga chama badala ya kujijenga.Hatuhitaji watu imara bali taasisi imara zenye uhakika wa kutoa watu imara siku zote

Sioni mantiki ya kujijenga kwa ajili ya kukimbilia bungeni kudai nyongeza ya posho badala ya kushiriki katika harakati nchini katika ujenzi wa Chadema imara kitakachoshinikiza mabadiliko ya kisheria na kisera ili kuleta maendeleo kwa watu wote na kwa mfumo halali bila kulazimika ku-accomodate hoja za ovyo za watu kudai nyongeza ya posho ili wawagawie wananchi.

-Pia ni kweli sikubaliani na kitendo cha kutamani kuibatiza Barabara kwa jina la Rais 'Jakaya Kikwete Road'.Fikra za aina hii ndizo zinazorudisha harakati za mabadiliko ya fikra nyuma kwa kuwa wananchi wanawexa kudhani ni hisani na sii huduma ya msingi na si wajibu wa serikali kufanya hivyo.Dhana ya kumpongeza ni motisha lakini tusifikie hatua tukawa tunafanya mambo ya ajabu

Barabara ni vipaumbele na ni utekelezaji wa mkakati wa kisera kuliko haiba ya kujitukuza kama wafanyavyo madikteta wengi wa Afrika kwa kujijengea minara na kujibatiza majina katika viunga.Rais kufungua au kutenga bajeti kwa ajili ya kujitukuza na kukosa umakini

Nasizitiza kwamba barabara ya Rombo ni haki yao na si hisani.Ni barabara ya kimkati na CCM na serikali yake walikosea vipaumbele kwani ni strategic road.Kama waliweza kukwapua bilioni 152 za EPA ni kwa nini wakose fedha za kujenga ile barabara?

Pia huyo anayeuliza nimefabya nini Rombo,jibu analo.Anajua mchango wangu wangu katika kuhakikisha Chadema inashinda Ubunge Rombo,Ubungo,Kawe na Kilombero katika uchaguzi mkuu uliopita.Naendelea kutoa mchango wangu kwa chama bila hofu.

Sitaki kuwa opportunist kama wale wanaojiunga na harakati dakika za mwisho na wengine wakitokea vyama vingine kwa ajili ya kuwaza ubunge tu.Sitaki kuwa mtu wa kufuata upepo wa kisiasa tu.Watu wa aina hii mara nyingi wana matatizo

Siasa za propaganda bila mikakati hazitatusaidia.Matokeo yake tutafikiria kusolve matatizo kwa falsafa ya dharura kwa njia ya kufikiria kuwagawia fedha.Wananchi wanahitaji migomba,vijana wanahitaji migomba na sio ndizi

Nasizitiza kua tuendelee kuijenga CHADEMA ili tusukume harakati hizi bila kufikiria POSHO.Mbunge sio father xmass.Ni wajibu wa serikali kutoa huduma muhimu na si wabunge kuwagawia fedha,ni wajibu wa serikali kujenga barabara kwa kuzingatia vipaumbele vya kisera kama public expenditure according to national priorities other than self glorification under unguided principles!
 
Kwani hiyo barabara Jk anaijenga kwa kutoa pesa mfukoni mwake?Tufikie hatua hatua tusiwafanye wapinzani waonekane yatima ndani ya nchi yao.
 
Kumbe Mbowe baunsa wake (anaowaita body guard) wanaishia kwenye mikutano ya CDM,press conference na maandamano tu mbele ya JK ni raia tu.

Mkuu Mingoi,
Mambo ya Billicanas huwezi kuleta kwenye dola.
 
Last edited by a moderator:
This is nice - upinzani kisiasa sio uadui - watu washindane kwa SERA tu

Again NICE PICS.
 
Kwani hiyo barabara Jk anaijenga kwa kutoa pesa mfukoni mwake?Tufikie hatua hatua tusiwafanye wapinzani waonekane yatima ndani ya nchi yao.

Namnavyosema tumchague Dr Slaa ataleta maendeleo pesa za maendeleo atatoa mfukoni kwake?
 
CHADEMA mtajikuta mmejaza type za akina Tundu Lissu bungeni.wanasiasa wasomi wanaokurupuka na misimamo isiyo na tija na kupotosha umma kila siku.Ndicho anafanya Ben na akina lisu kwenye siasa hii

Makamu Mwenyekiti mstaafu UVCCM anapojaribu kupotosha namna hii ni jambo la ajabu

Mtu huwezi kujiondoa kwenye tuhuma za kutumia rushwa na kusimamia kambi moja ndani ya UVCCM kwa kumchafua Ben Saanane.Mimi ni mwanachadema huko UVCCM nimehusikaje?

-Sitegemei makosa ya mtu kama mtaji.Makosa ya mwingine siyo ajenda kwangu na si mbadala wa sera dhidi ya mpinzani/mshindani wangu

-Huyo unayemsifia kuwa atakua kiboko yangu au yeyote unajidanganya tu.Mungu atupe uhai ila nawahakikishia CHADEMA itatea majimbo yake na kuongeza majimbo mengi
 
Kuwa upinzani si uadui kwani wote kuhakikisha wanawatumikia wananchi na kuleta hali bora kwa kila mwananchi.

Hongera sana Mbowe kwa kumtambua na kufahamu mchango wa Serikali kwenye jimbo lako la uchaguzi.
 
Picha ya nne kamanda kampiga 'clamp' mpaka mzee ana-smile na kutaka kuuchomoa mkono kama anaumia vile!
Mkono wa kamanda, mkono wa mazoezi, sio wa kumenya vitunguu na biringanya
A strong hand shake demonstrates confidence, authority
Hivyohivyo kamanda, upo fit
Tumbo la mwakilishi wa mzee mkoa wa Kilimanjaro linatia aibu! Kaka punguza kula, fanya mazoezi. Huo siku hizi sio ufahari tena ni ugonjwa wa hatari!
 
Mhe.Joseph Selasini naye alimshukuru JK lakini akatukanwa sana humu kuwa ni mamluki,mtu wa hovyo asiyefaa. Mdau mwingine alisema kuwa Mhe.Selasini alimsifu JK kwa sababu anajifagilia njia ya kwenda CCM 2015. Hapo niliona Ben Saanane akitokwa mapovu kuwa Selasini alikosea. Nilikuwa kimya kwa sababu nilitarajia Mbunge mwingine atafanya hivyo ili tuweze ku justfy licha ya kuwa hilo liliwahi kutokea kwa Mhe.Sugu na Mhe.Zitto.

Kwanza kama mwanasiasa unapaswa utumie maneno yako kwa mbinu na umakini mkubwa. Kumshukuru Rais ina maana pana sana ambapo hapa sitaiandika yote,ila kwa sehemu mkumbuke kuwa Rais ndiye Mwenyekiti wa Baraza la mawaziri ambalo hupanga matumizi( Budget) ya mwaka mzima. Rais anayo nafasi ya kuongeza au kutoa mpango wowote kwenye bajeti ya wizara yoyote.

Taabia ya kiongozi wa Siasa kushambuliwa na wasio wanasiasa au waliovaa pampers za kisiasa huku wakidhani kuwa ni Wanasiasa kama kina Ben Saanane ni tabia mbaya na ya hovyo!. Mwanasiasa anapofanikisha moja ya ahadi zake kwake ni moja ya ngazi ya kushinda tena kwenye siasa uchaguzi ujao. Wewe unayekaa Online huku huna ulichoahidi wala cha kutekeleza! Huwezi kufanya kama yeye! Unasubiri atoe kauli yoyote uweze kuongea. Yes! Endeleeni kuwalaumu wanasiasa wanapotekeleza ahadi zao kwakuwa nyie kamna cha kufanya kwa wananchi.

By Deus.

Sijui ni jambo gani umeza kufanikisha

Nothing to justify.Unaweza kuleta uthibitisho hapa kwamba akina Zitto na Sugu walishawahi kutaka miradi ya barabara ibatizwe jina la Rais as if si wajibu wake kutekeleza vipaumbele kupitia kodi ya wananchi?

-Kama wewe ni mwanasiasa uliyekomaa..je unajua madhara ya kauli ya aina hii?Tusirudishane kwenye enzi za state party.

Ipo siku sasa utatangaza kwamba maendeleo tuliyopata ndiyo stahiki yetu tangu miaka 50 iliyopita kwa hiyo hakuna haja ya mabadiliko.Nayo utaendelea kuiita ni siasa

-Well,Rais ni msimamizi wa Cabinate na ana veto kwenye budget priority.Jiulize kama asingetekeza yeye na chama chake wasingeathirika?

Hivi kama Rais angezindua barabara hiyo wiki iliyopita kabla ya uchaguzi mdogo ungetamka maneno uliyosema?Ni nini madhara yake katika mapambano haya ya fikra na attitude ya wenye kiu ya mabadiliko kwenye uchaguzi?Na hili unajua lina impact gani in future?

Labda nikupe mfano wa kule tulikoiga mfumo wa vyama vingi hususan Marekani.Obama ametembelea jimbo la New Jersey na Gavana wa Jimbo hilo Christie wa chama cha upinzani cha Republican amemsifia sana Obama kwa jinsi alivyoshughulukia suala janga la Sandy wiki hii.Hili jambo limezua utata mkubwa Marekani ukizingatia Christie ndiye alitoa keynote speech kwa Republicans.Imagine ile ni natural calamity tu inayitegemea umakini Rais lakini Obama aliposifiwa tu imezua mtafaruku sembuse hili la barabara ambalo linahusu sera na priorities?

Huu ndiyo ukomavu wa kisiasa?Kazi ya upinzani ni kukosoa na kuna tofauti kati ya kukosoa na kupinga.Kukosoa ni kutoa alternative.Ndiyo maana nikasema Rais alitakiwa ku-apologize wananchi wa Rombo kwa kuchelewesha barabara tangu tupate uhuru.

Hakuna kisingizio cha vipaumbele hapo,kwa nini hela za EPA zisingepelekwa Rombo?Kipaumbele hapo kiko wapi?Kumsifia na kumtunuku barabara kama utukufu baada ya hayo yote ndiyo ukomavu wa kisiasa?

Wanasiasa waliotanguliza posho mbele tangu tupate uhuru ndio waliochangia kwa kiasi kikubwa kutukosesha barabara kwa kuwa vipaumbele vilielekezwa huko.Nakipongeza chama changu CHADEMA kwa kusimamia kupinga posho kwa wabunge ili vituko kama hivi vya kukosesha wananchi huduma visijirudie
 
Hata Yesu aliwapenda adui zake na mwengine hata aliingia ndani mwao, siasa sio ugomvi bali ni utofauti wa itikadi
 
Magesi,
-Mkuu usitake kuua watu presha

Pia kuna mtu anadai hapo juu kwamba anajua nina nia ya kugombea ubunge Rombo.Hii ni ramli kwani siku zote naamini katika taasisi.Nimekua nikisizitiza umuhimu wa kukijenga chama badala ya kujijenga.Hatuhitaji watu imara bali taasisi imara zenye uhakika wa kutoa watu imara siku zote

Sioni mantiki ya kujijenga kwa ajili ya kukimbilia bungeni kudai nyongeza ya posho badala ya kushiriki katika harakati nchini katika ujenzi wa Chadema imara kitakachoshinikiza mabadiliko ya kisheria na kisera ili kuleta maendeleo kwa watu wote na kwa mfumo halali bila kulazimika ku-accomodate hoja za ovyo za watu kudai nyongeza ya posho ili wawagawie wananchi.

-Pia ni kweli sikubaliani na kitendo cha kutamani kuibatiza Barabara kwa jina la Rais 'Jakaya Kikwete Road'.Fikra za aina hii ndizo zinazorudisha harakati za mabadiliko ya fikra nyuma kwa kuwa wananchi wanawexa kudhani ni hisani na sii huduma ya msingi na si wajibu wa serikali kufanya hivyo.Dhana ya kumpongeza ni motisha lakini tusifikie hatua tukawa tunafanya mambo ya ajabu

Barabara ni vipaumbele na ni utekelezaji wa mkakati wa kisera kuliko haiba ya kujitukuza kama wafanyavyo madikteta wengi wa Afrika kwa kujijengea minara na kujibatiza majina katika viunga.Rais kufungua au kutenga bajeti kwa ajili ya kujitukuza na kukosa umakini

Nasizitiza kwamba barabara ya Rombo ni haki yao na si hisani.Ni barabara ya kimkati na CCM na serikali yake walikosea vipaumbele kwani ni strategic road.Kama waliweza kukwapua bilioni 152 za EPA ni kwa nini wakose fedha za kujenga ile barabara?

Pia huyo anayeuliza nimefabya nini Rombo,jibu analo.Anajua mchango wangu wangu katika kuhakikisha Chadema inashinda Ubunge Rombo,Ubungo,Kawe na Kilombero katika uchaguzi mkuu uliopita.Naendelea kutoa mchango wangu kwa chama bila hofu.

Sitaki kuwa opportunist kama wale wanaojiunga na harakati dakika za mwisho na wengine wakitokea vyama vingine kwa ajili ya kuwaza ubunge tu.Sitaki kuwa mtu wa kufuata upepo wa kisiasa tu.Watu wa aina hii mara nyingi wana matatizo

Siasa za propaganda bila mikakati hazitatusaidia.Matokeo yake tutafikiria kusolve matatizo kwa falsafa ya dharura kwa njia ya kufikiria kuwagawia fedha.Wananchi wanahitaji migomba,vijana wanahitaji migomba na sio ndizi

Nasizitiza kua tuendelee kuijenga CHADEMA ili tusukume harakati hizi bila kufikiria POSHO.Mbunge sio father xmass.Ni wajibu wa serikali kutoa huduma muhimu na si wabunge kuwagawia fedha,ni wajibu wa serikali kujenga barabara kwa kuzingatia vipaumbele vya kisera kama public expenditure according to national priorities other than self glorification under unguided principles!

Lakini Mkuu huoni kwamba ilimbidi ampake JK mafuta kwa mgongo wa chupa? unajua alipenyeza maombi ya malambo katika hotuba hiyohiyo na isitoshe alisema pendekezo hilo lipo nje ya uwezo wake akijua mood ya wanajimbo lake ingepinga! Mi sijaona ubaya ya ile speech yake..
 
Sijui ni jambo gani umeza kufanikisha

Nothing to justify.Unaweza kuleta uthibitisho hapa kwamba akina Zitto na Sugu walishawahi kutaka miradi ya barabara ibatizwe jina la Rais as if si wajibu wake kutekeleza vipaumbele kupitia kodi ya wananchi?

-Kama wewe ni mwanasiasa uliyekomaa..je unajua madhara ya kauli ya aina hii?Tusirudishane kwenye enzi za state party.

Ipo siku sasa utatangaza kwamba maendeleo tuliyopata ndiyo stahiki yetu tangu miaka 50 iliyopita kwa hiyo hakuna haja ya mabadiliko.Nayo utaendelea kuiita ni siasa

-Well,Rais ni msimamizi wa Cabinate na ana veto kwenye budget priority.Jiulize kama asingetekeza yeye na chama chake wasingeathirika?

Hivi kama Rais angezindua barabara hiyo wiki iliyopita kabla ya uchaguzi mdogo ungetamka maneno uliyosema?Ni nini madhara yake katika mapambano haya ya fikra na attitude ya wenye kiu ya mabadiliko kwenye uchaguzi?Na hili unajua lina impact gani in future?

Huu ndiyo ukomavu wa kisiasa?Kazi ya upinzani ni kukosoa na kuna tofauti kati ya kukosoa na kupinga.Kukosoa ni kutoa alternative.Ndiyo maana nikasema Rais alitakiwa ku-apologize wananchi wa Rombo kwa kuchelewesha barabara tangu tupate uhuru.

Hakuna kisingizio cha vipaumbele hapo,kwa nini hela za EPA zisingepelekwa Rombo?Kipaumbele hapo kiko wapi?Kumsifia na kumtunuku barabara kama utukufu baada ya hayo yote ndiyo ukomavu wa kisiasa?

Wanasiasa waliotanguliza posho mbele tangu tupate uhuru ndio waliochangia kwa kiasi kikubwa kutukosesha barabara kwa kuwa vipaumbele vilielekezwa huko.Nakipongeza chama changu CHADEMA kwa kusimamia kupinga posho kwa wabunge ili vituko kama hivi vya kukosesha wananchi huduma visijirudie

DAH MWANANGU BEN KWELI NIMEAMINI ROMBO KUTAKUA NA KAZI.KAKA LEGEZA MISIMAMO WAKATI MWINGINE.Kweli usikomae tu Kama Tundu Lissu.Umepinduapindua hoja kama vile.................................
 
Back
Top Bottom