MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
so unataka akaombe mochwari serikali kuu? kwani machame hosp na uswaa kuna umbali gani??? msisitizen akomalie mfuko wa barabara wa jimabo ili iyo bara bara toka masama kuja kalali iwekewe lami na pia ya nkuu lyamungo vinginevyo atabaki kupita angani daily nyie mkivuka kikafu kwa miguu......
Wewe dada unaonekana umetoka maeneo ya kwetu kama unaifahamu barabara ya Mkuu Lyamungo mimi ni home boy wako.