PICHA: Mbowe ampongeza rais Kikwete...

PICHA: Mbowe ampongeza rais Kikwete...

Tumekuelewa kwa jinsi unavyojipambambanua,ama hakika wewe ni mmoja wa watu unaetaka kuendeleza CD iliyowashinda hata wenzio kina Mwugulu Nchemba.endelea kutafuta CD nyingine hii ilisha feli siku nyingi.
 
Utumwa kitu kibaya sana. Mawazo mgando ni laana na kuwaza kutenganisha ni shetani mbele ya uso
 
Siku za karibuni tumeshuhudia pongezi zikimwagwa na viongozi wa Chadema kwa Rais Dr. Jakaya Kikwete kutokana na uongozi wake uliotukuta katika kutekeleza ahadi kwa wananchi pasipo kujali itikadi za kisiasa.
Mheshimiwa Freeman Mbowe, Mheshimiwa Joseph Selasini na Mheshimiwa Rose Kamili kwa wakati na mahala tofauti wamesikika wakitoa ushuhuda wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo ulioenda sambaba na utekelezaji wa ahadi zilizotolewa na Rais kipenzi cha watanzania, Dr. Jakaya Kikwete.
Tangu zimetolewa pongezi hatuzikia mwanachama yeyote wa Chadema kupinga ama kulaumu matamshi ya viongozi wao.

Lakini huku nyuma tulihushudia Mheshimiwa Zito na Shibuda wakilaumiwa kwa vitendo vyao vya kutoa pongezi kwa Rais Dr. Jakaya Kikwete.

Matukio haya mawili yanatufundisha kuwa ndani ya Chadema kuna wenyewe (watokao Arusha, Kilimanjaro na Manyara) na wakuja (watokao nje ya mikoa hiyo miwili). Asanteni Chadema kwa kutudhihirishia watz kuwa ndani ya chama chenu; UKANDA unaangaliwa zaidi kabla ya kutoa kasoro kwa jambo lolote linalofanywa na viongozi na wanachama wenu.

Wanikumbusha ule wimbo wa Bwana micoci "nitoke vipi".. Hivi hapo Lumumba umeme haujakatika..? Sie huku umekatika tunatumia jenereta..
 
Hapo hawana la kujibu watakuja na matusi.
 
Wape wapeeee vidonge vyao, wakimeza wakitema shauri yao!

hebu acha ujinga, fikiria kwa makini sehemu ambazo zimezinduliwa hivi majuzi ni jitiada za kina nani kama sio wabunge wenyewe.
Kwa mfano wilaya ya Hai(FREEMAN MBOWE) na Arumeru( Joshua Nassari).
Akili kumkichwa kijana.
 
hebu acha ujinga, fikiria kwa makini sehemu ambazo zimezinduliwa hivi majuzi ni jitiada za kina nani kama sio wabunge wenyewe.
Kwa mfano wilaya ya Hai(FREEMAN MBOWE) na Arumeru( Joshua Nassari).
Akili kumkichwa kijana.
Unapingana na USHUHUDA ambao umetolewa na Mbowe kuwa serikali ya CCM inayoongozwa na JK imetekeleza ahadi lukuki katika jimbo lake na wilaya kwa ujumla ingawa mbunge wake ni mpinzani!!!
 
Unalako jambo! mbona ni siku za karubuni tu wakati wa Kampeni za mwishi udiwani pale bagamoyo zitto alimsifu Kikwete na hapajachimbika?

Siku za karibuni tumeshuhudia pongezi zikimwagwa na viongozi wa Chadema kwa Rais Dr.

Jakaya Kikwete kutokana na uongozi wake uliotukuta katika kutekeleza ahadi kwa wananchi pasipo kujali itikadi za kisiasa.

Mheshimiwa Freeman Mbowe, Mheshimiwa Joseph Selasini na Mheshimiwa Rose Kamili kwa wakati na mahala tofauti wamesikika wakitoa ushuhuda wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo ulioenda sambaba na utekelezaji wa ahadi zilizotolewa na Rais kipenzi cha watanzania, Dr. Jakaya Kikwete.
Tangu zimetolewa pongezi hatuzikia mwanachama yeyote wa Chadema kupinga ama kulaumu matamshi ya viongozi wao.

Lakini huku nyuma tulihushudia Mheshimiwa Zito na Shibuda wakilaumiwa kwa vitendo vyao vya kutoa pongezi kwa Rais Dr. Jakaya Kikwete.

Matukio haya mawili yanatufundisha kuwa ndani ya Chadema kuna wenyewe (watokao Arusha, Kilimanjaro na Manyara) na wakuja (watokao nje ya mikoa hiyo miwili). Asanteni Chadema kwa kutudhihirishia watz kuwa ndani ya chama chenu; UKANDA unaangaliwa zaidi kabla ya kutoa kasoro kwa jambo lolote linalofanywa na viongozi na wanachama wenu.
 
Unapingana na USHUHUDA ambao umetolewa na Mbowe kuwa serikali ya CCM inayoongozwa na JK imetekeleza ahadi lukuki katika jimbo lake na wilaya kwa ujumla ingawa mbunge wake ni mpinzani!!!

Serekali ya ccm imetekeleza mengi kutokana na wapinzani kutaka mabadiliko ambayo yamesaidia kukipashamoto kiti kilichopo madarakani.
 
hebu acha ujinga, fikiria kwa makini sehemu ambazo zimezinduliwa hivi majuzi ni jitiada za kina nani kama sio wabunge wenyewe.
Kwa mfano wilaya ya Hai(FREEMAN MBOWE) na Arumeru( Joshua Nassari).
Akili kumkichwa kijana.

Nassari huyu wajuzi ndio alijitahidi ikajengwa hiyo barabara? Mbowe mwenyewe alikiri alikuwa hajui kama mambo yako hivyo, umesahau? umesahau ilani ya CCM ya kuunganisha mikoa yote kwa lami? umesahahu kuwa sasa wametangaza kuanza na barabara za kuunganisha wilaya? umesahau kuwa sasa wanajenga mabarabara ya kuondoa foleni dar, kuanzia ya treni mpaka ya juu kwa juu? una matatizo ya Ubaguzi wa Ujinga.

Jibu mada iliyoletwa kama unaweza hata kuthubutu. Unataka kututoa nje ya mada? janja yake panya, paka kwisha tammbuwa.

Hivyo ni vidonge vyanye dozi maridhawa. Haipingiki. Utaanzia wapi?
 
Kwa great thinkers lazma uende mile moja mbele.Jiulize kwa nn shibuda na zitto wako tofauti na wengine.To be impartial hapa sio ukanda.Naamini mtoa mada angeongeza na udini kama shibuda angekuwa mwislam kama zitto.Hawa jamaa ni waroho wa madaraka na mandumila kuwili ndo maana watu wana-question kauli zao hasa zinapolenga uhusiano wao na ccm.Kama ni ukanda ulishawahi wenje & co kulalamika? Kama ni udini umeshasikia Mh.ARFI kulalamika? Hata zitto mwenyewe hajawahi kulalamika publically kuhusiana na hayowmambo mawili mnayodanganywa na chama kilichopoteza mwelekeo
 
Back
Top Bottom