hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,539
Good one Mr. President in this!
mikelele mengiii, wakikutana nae ovyoooooooooo
KIkwete yuko ziarani katika mkoa wa Kiklimanjaro na leo alikuwa anazindua barabara katika wilaya ya Hai ambako Mbowe ni mBunge wake. ... KUna picha nyingine tena akiwa huko Rombo ambako Selasini naye alikuwepoHapo ni wapi mkuu? sio unatuletea picha alf hatupi maelezo yanijitosheleza sisi wengine tutajuaje walikuwa kwenye tukio gani?
-Kuwa mkweli na you should quote him right
-Acha kupotosha.Maendeleo yaliyopo hayalingani na miaka 50 ya uhuru.
Sijui kwanini mtafute faraja kwa nguvu kiasi hiki
Leo kupitia Itv nimeona juhudi zako kwa kuwa umeweza kumleta rais Kikwete na Magufuli wakazindua barabara ya kwasadala -masama kwa kiwango cha lami na huenda ikaunganishwa tokea MASAMA,SONU,BWANI hadi KALALI.
Nimekupongeza wewe kwa kuwa niliona juhudi zako toka bunge la bajeti ulivyoifuatilia hii barabara.
Ombi langu kwako vijiji vya USWAA,SHARI,KYERI havina huduma ya mwochwari wala zahanati ya uhakika ujitahidi uwabane hao magamba watumie hizo kodi zetu watuletee hiyo huduma.
Naomba kuwasilisha
Ben maendeleo ya miaka 50 yanafananaje? nadhani kwa mawazo yako tungekuwa tunatengeneza ndege sasa!
Naamini wewe ni mfuasi wa Mwalimu Nyerere na hujawahi kumkosoa hata siku moja.Katika hiyo miaka 50 unayolilia, Mwalimu ametumia karibu nusu akiwa Madarakani.Swali langu ni je!Nyerere anapaswa kutupiwa lawama????
Ama tutaendelea kuishi kwa ''imagination'' through out!
Tuwe tunasoma historia vizuri kabla ya kukosoa ama kuhukumu.Unaambiwa nchi imeanza kujijenga miaka ya 80 baada ya ukombozi wa Afrika angalau kueleke tamati, mbona hili ulisemi?
Hii ni principle tu hata katika maisha kwawaida, mara nyingi maendeleo ya mtu anaesaidia ndugu zake saana huchelewa tofauti na yule mwenye mkono wa birika.