Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,433
wanahongeka kirahisiWaajiri Jkt tu...
wanahongeka kirahisiWaajiri Jkt tu...
Subutu! Mnatutisha nini nyie? Mbona hata sisi tuko imara kamili gado!
View attachment 230967
Mkuu mbona unanisema?
Unajitangaza bila kufahamu kwamba wewe ni mtu wa escrow, epa, tender,rea na mauchafu mengine yanayopamba lumumba ya makengeza inayotumia milioni kumi kununua mboga!ukitaka mazombi yahamaki uliza nani alipewa tenda ya ku-supply hizo suti. hehehhehe.
Chama cha Demokrasia na Maigizo =CHADEMA
Subutu! Mnatutisha nini nyie? Mbona hata sisi tuko imara kamili gado!
View attachment 230967
....
.....wizi wa kura sasa basi !!!
Mwaka huu kura hazichakachuliwi,Namuaona Lwakx hapo ni shidaa.