2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,226
- 4,920
Hili eneo linajaa maji mvua ikinyesha kwa dakika 20. Mitaro ipo lakini imeziba, sijajua mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke ni nani na hali hii haioni au ndio kakaa ofisini tu.
Jangwani kukijaa maji tunaona wanavyopambana kuzibua, huku kuna nini?
Magufuli usimcheleweshe huyu mzembe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jangwani kukijaa maji tunaona wanavyopambana kuzibua, huku kuna nini?
Magufuli usimcheleweshe huyu mzembe.
Sent using Jamii Forums mobile app