Mungai Msele
Senior Member
- Dec 19, 2013
- 105
- 28
Kwanz kabisa G.Lema alichaguliwa na watu takribani 60,000. acha zilizoaribika na kupotea,Wakati zito alipata kura elf 20 tu,
si kweli kuwa anakubalika,Hizi mikutano za zito zina mamluki kutoka chama cha kijani,
na kama anaona yeye ni zaidi ya Chadema,Si aanzishe chama chake?
Taasisi kubwa kama Chadema, Haiyumbishwi kamwe maana Uongozi wake ni Mamlaka Kamili"
si kweli kuwa anakubalika,Hizi mikutano za zito zina mamluki kutoka chama cha kijani,
na kama anaona yeye ni zaidi ya Chadema,Si aanzishe chama chake?
Taasisi kubwa kama Chadema, Haiyumbishwi kamwe maana Uongozi wake ni Mamlaka Kamili"