Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,354
- 271,778
Kwani Zito alipata kura ngapi na Lema alipata kura ngapi?
MSALANI hawezi kukupa jibu la swali lako .
Kwani Zito alipata kura ngapi na Lema alipata kura ngapi?
Kumfananisha Zito na Lema ni sawa na kufananisha mlima na kichuguu.
Zito hana wa kumfananisha katika Chadema ahata Dr Slaa analijua hilo na ndilo Chadema linalowaumiza kichwa. Kwani nyota yake ni kali sana hakuna wa kuweza kuizima.
Ok Tusubiri CC ya chadema kama itaweza kumfukuza baada ya utetezi wake uliosheheni kuikosoa na kuonyesha namna walivyovinja katiba katika kadhia yake.
bungeni utaona ukweli upo wapi.
Labda jaribu kuangalia records zao Bungeni na hata hoja zao wanapotoa .Pitia ansard za bunge uone michango yao bungeni na mengineyo utaona tu nani kichwa na nani galasa.
Pole sana
He is just a looner leo hata wanachadema wamekataakumpokea kapkele na moles wa CCM sfari ya ZIto imedhihirisha anayekpandisha ndio tkaye kushusha nadhani somo zuri sana wanachademaKigoma wamemsusa wmemuacha ajibanie nyama siasa za zitto zimefika kikomo hawezi fananishwa na mtu Kwa sababu nirahisi mno bei poa vipande thelethini tu anainia kingi ha ha leo ameisoma KIgoma
umesema vema mkuuHuwezi kuwafananisha hao wavuta bangi waliokuja kumlaki muhuni mwenzao Lema, na hawa wananchi wazee, wakinamama, wakinababa, vijana na watoto walikuja kumpokea mbunge wao zitto.
Kumfananisha Zito na Lema ni sawa na kufananisha mlima na kichuguu.
Zito hana wa kumfananisha katika Chadema ahata Dr Slaa analijua hilo na ndilo Chadema linalowaumiza kichwa. Kwani nyota yake ni kali sana hakuna wa kuweza kuizima.
Ok Tusubiri CC ya chadema kama itaweza kumfukuza baada ya utetezi wake uliosheheni kuikosoa na kuonyesha namna walivyovinja katiba katika kadhia yake.
Zitto ni zaidi ya tasisi looh, yani hapo ata wngeenda kamati kuu na wabunge wote wa chadema bado zitto angewazidi. Zitto mpk ifike 2015 lazma atalaza watu kwa BP