Picha Mapokezi ya Zitto Vs Lema

Picha Mapokezi ya Zitto Vs Lema

Mbona mapokezi ya zito hayana bendera? au itkadi mchanganyiko?
Leo mmechanganyikiwa mpaka asipiga kiwi kiatu mtamchambuaa,eti bendera... Ndio kwanza ziara imeanza Leo
Mchecheto kibaoo....
 
Kumfananisha Zito na Lema ni sawa na kufananisha mlima na kichuguu.

Zito hana wa kumfananisha katika Chadema ahata Dr Slaa analijua hilo na ndilo Chadema linalowaumiza kichwa. Kwani nyota yake ni kali sana hakuna wa kuweza kuizima.

Ok Tusubiri CC ya chadema kama itaweza kumfukuza baada ya utetezi wake uliosheheni kuikosoa na kuonyesha namna walivyovinja katiba katika kadhia yake.

kwa yapi aliyo yafanya paka nyota yake iwe kali? mbona ni mbulula tu.
 
Katika mapokezi na mkutano wa Zitto picha zote na hata jukwaa alilolutumia hakuna bendera ya CHADEMA,hata kwenye maandamano ya wafuasi wa Zitto na pikipiki hakuna bendera ya CHADEMA,na ikumbukwe Zitto amejitapa sana kuwa anakipenda CHADEMA na angependa hata mtoto wake aje kuwa CHADEMA,Mbunge wa CHADEMA na unayehubiri mapenzi kwa chama unakosaje hata bendera moja ya chama kwenye mkutano wako?? Huu sio unafiki??!!

Tukisema kuwa mkutano huu umeratibiwa kwa maelezo maalum na pia kuandaa hadhira mathalani wasibebe bendera wala alama yoyote ya chama Tutaongea?? Tukisema mkutano huu ni wa mamluki dhidi ya CHADEMA tutakosea??!! Zitto ni mtu wa ajabu sana!!

Kwenye hotuba yake amelialia kutokuaminiwa ila kweli inajulikana kuwa matendo ya mtu ya kutilia shaka au maouvu ndio hufanya mtu asiaminike,imani hainunuliwi bali inatengenezwa kwa hiyo matendo ya Zitto ndio yanafanya uonekane msaliti

Kigoma inahistoria chafu ya kutoa wanasiasa wanafiki,wazandiki na wachumia tumbo na Zitto nathubutu kusema ni mmoja wao,Kigoma ingebaki kutoa wacheza mpira na wanamziki kama wakina Kaseja,Maulidi,Ali Kiba n'a wengine lakini si viongozi wa siasa,kwani ni wezi wa fikra na imani za walalahoi kwa maslahi yao binafsi n'a watu wanaowatumikia!!!
 
Huwezi kuwafananisha hao wavuta bangi waliokuja kumlaki muhuni mwenzao Lema, na hawa wananchi wazee, wakinamama, wakinababa, vijana na watoto walikuja kumpokea mbunge wao zitto.
huo ubaguzi wenu ndio unaofanya watanzania wazidi kuichukia ccm!
 
Mbona mapokezi ya zito hayana bendera? au itkadi mchanganyiko?
Nilifikiri hakuna aliyeliona hilo!
Tofauti ya mapokezi Yao ni kwamba G.Lema kapokelewa na wanachama wazalendo wa Chadema wakati Zitto kapolelewa na wanachama wazalendo wa CCM na ndio maana huoni bendera za Chadema kwenye mapokezi ya Zitto!
 
Kweli kajana ni kichwa kwa usaliti lakini kwa Chadema imekula kwake...

Mmechanganyikiwa nyie Leo mnatafuta chochote ili mumpake tope Zitto lakini kumbuka wewe mwanamme Kama mwenzio mungu amempa kipaji omba na wewe mungu atakupa, wala kumpaka shombo Zitto hakukufanyi wewe au wenye roho ya kwanini Kama wewe m shine, acheni roho dhaifu...
 
lema8.jpg
Baada ya mapokezi mkutano mkubwa ulifanyika
 
bungeni utaona ukweli upo wapi.



Labda jaribu kuangalia records zao Bungeni na hata hoja zao wanapotoa .Pitia ansard za bunge uone michango yao bungeni na mengineyo utaona tu nani kichwa na nani galasa.

Pole sana

Hiyokwenye red ni nini!?
 
Mmechanganyikiwa nyie Leo mnatafuta chochote ili mumpake tope Zitto lakini kumbuka wewe mwanamme Kama mwenzio mungu amempa kipaji omba na wewe mungu atakupa, wala kumpaka shombo Zitto hakukufanyi wewe au wenye roho ya kwanini Kama wewe m shine, acheni roho dhaifu...

Kwa hiyo mapokezi ya Lema na Zitto unasemaje....
 
zitto ni kama sisimizi ndani ya chadema ni chama makini ccm wanafiki wakubwa mapokezi tuu hayana maana yoyote siyo wote wanakupigia makofi wanakusifu wengine niwasindikiza tuu bora Lema mara kumi kuliko zitto kibaraka wa chama chakavu ccm vp zile za uswizi majina panya aliiba au???
 
Wewe muda wote unawaza kuosha watoto wa kiarabu tu, kwenye mada hii tunazungumzia mapokezi na si bungeni...
Halafu akimaliza kuosha watoto wa kiarabu unamsikia na yeye anajiapiza kuwa ni Mwarabu wa Omani lol!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom