Picha Mapokezi ya Zitto Vs Lema

Picha Mapokezi ya Zitto Vs Lema

Tafuta maana yake utuletee hapa..vinginevyo usipende kutumia neno usilolijua maana yake...

Ungekuwa mweledi, ungelinganisha mapokezi ya Dr.Slaa Kigoma na Mapokezi ya Zitto Kigoma.
Dr.Slaa alipokelewa kwa Mawe,fujo za kila aina na Mabango yenye ujumbe wa chuki dhidi ya maamuzi ya kamati kuu ya CHADEMA, Mheshimiwa Zitto amepokelewa na maelfu ya watu, wake kwa waume, vijana kwa wazee wenye furaha ya kumkaribisha Mbunge wao nyumbani!
 
Huwezi kuwafananisha hao wavuta bangi waliokuja kumlaki muhuni mwenzao Lema, na hawa wananchi wazee, wakinamama, wakinababa, vijana na watoto walikuja kumpokea mbunge wao zitto.

Msalani kwa lugha ya kwetu maana yake ni CHOONI!

Nasikia kuna mahusiano kati ya majina ya mtu na matendo yake!Kutokana na mchango wako hapo juu sina shaka kabisa kuwa matendo na sura yako vinafanana na kinachotengenezwa CHOONI!
 
Wewe ni kiongozi wa Chadema. Je, lengo lako la kufananisha mapokeza ya wabunge hawa ambapo mmoja amepokewa kwenye JIJI la Arusha na mwingine amepokewa kwenye MJI wa Kigoma ni nini?

Kwanza angalia utofauti wa mazingira. Lema amepokewa kwenye barabara ya lami, Zitto yuko vumbini. Sasa tuambie lengo lako ni nini?
 
Huwezi kuwafananisha hao wavuta bangi waliokuja kumlaki muhuni mwenzao Lema, na hawa wananchi wazee, wakinamama, wakinababa, vijana na watoto walikuja kumpokea mbunge wao zitto.

walugaluga na ma-chalii wapi na wapi!
 
Wewe ni kiongozi wa Chadema. Je, lengo lako la kufananisha mapokeza ya wabunge hawa ambapo mmoja amepokewa kwenye JIJI la Arusha na mwingine amepokewa kwenye MJI wa Kigoma ni nini?

Kwanza angalia utofauti wa mazingira. Lema amepokewa kwenye barabara ya lami, Zitto yuko vumbini. Sasa tuambie lengo lako ni nini?

Hahahah, Kiongozi wa chadema!? pole sana mgombea uliyepigwa chini labda kisia tena....
 
CDM inabidi mjirekebishe kwakweli hivi kwanini kila linapotolewa swala lolote ndani ya chama lazima mtumie mbinu za compare and contrast the difference kama sio kwa CCM, basi viongozi wenu kwa viongozi wenu tabia za kidada dada.

No wonder asilimia kubwa ya washabiki wa CDM wakitoka humu kwenye siasa ndio walewale wanaotawala majukwaa yaliyoko the south of JF home page, tells what sort of men they are in books useless.
 
Msalani kwa lugha ya kwetu maana yake ni CHOONI!

Nasikia kuna mahusiano kati ya majina ya mtu na matendo yake!Kutokana na mchango wako hapo juu sina shaka kabisa kuwa matendo na sura yako vinafanana na kinachotengenezwa CHOONI!
Wazazi tunaaswa kutafakali kabla mwanao huja mpa jina mwanao...
 
Katika mapokezi na mkutano wa Zitto picha zote na hata jukwaa alilolutumia hakuna bendera ya CHADEMA,hata kwenye maandamano ya wafuasi wa Zitto na pikipiki hakuna bendera ya CHADEMA,na ikumbukwe Zitto amejitapa sana kuwa anakipenda CHADEMA na angependa hata mtoto wake aje kuwa CHADEMA,Mbunge wa CHADEMA na unayehubiri mapenzi kwa chama unakosaje hata bendera moja ya chama kwenye mkutano wako?? Huu sio unafiki??!!

Tukisema kuwa mkutano huu umeratibiwa kwa maelezo maalum na pia kuandaa hadhira mathalani wasibebe bendera wala alama yoyote ya chama Tutaongea?? Tukisema mkutano huu ni wa mamluki dhidi ya CHADEMA tutakosea??!! Zitto ni mtu wa ajabu sana!!

Kwenye hotuba yake amelialia kutokuaminiwa ila kweli inajulikana kuwa matendo ya mtu ya kutilia shaka au maouvu ndio hufanya mtu asiaminike,imani hainunuliwi bali inatengenezwa kwa hiyo matendo ya Zitto ndio yanafanya uonekane msaliti

Kigoma inahistoria chafu ya kutoa wanasiasa wanafiki,wazandiki na wachumia tumbo na Zitto nathubutu kusema ni mmoja wao,Kigoma ingebaki kutoa wacheza mpira na wanamziki kama wakina Kaseja,Maulidi,Ali Kiba n'a wengine lakini si viongozi wa siasa,kwani ni wezi wa fikra na imani za walalahoi kwa maslahi yao binafsi n'a watu wanaowatumikia!!!
hapo ukn sahihi mkuu?
 
Msalani kwa lugha ya kwetu maana yake ni CHOONI!

Nasikia kuna mahusiano kati ya majina ya mtu na matendo yake!Kutokana na mchango wako hapo juu sina shaka kabisa kuwa matendo na sura yako vinafanana na kinachotengenezwa CHOONI!
Hii nayo ni sera ya CHADEMA?
 
CDM inabidi mjirekebishe kwakweli hivi kwanini kila linapotolewa swala lolote ndani ya chama lazima mtumie mbinu za compare and contrast the difference kama sio kwa CCM, basi viongozi wenu kwa viongozi wenu tabia za kidada dada.

No wonder asilimia kubwa ya washabiki wa CDM wakitoka humu kwenye siasa ndio walewale wanaotawala majukwaa yaliyoko the south of JF home page, tells what sort of men they are in books useless.

Haya rudi kwenye mada..unayaonaje mapokezi ya Zitto na aliyowahi kupata Godbless Lema...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom