promiseme
JF-Expert Member
- Mar 15, 2010
- 2,706
- 934
Na Zitto yuko smart kwenye kusaliti!?
Na Mbowe Yuko super smart kwenye uzinzi.?
Na Zitto yuko smart kwenye kusaliti!?
Tafuta maana yake utuletee hapa..vinginevyo usipende kutumia neno usilolijua maana yake...
Niletee picha ya mapokezi ya Zitto leo hayo mabango soma mwenyewe...
Hawezi Mkuu kukuletea sana sana ataishia kurukaruka kama mahindi ya popcorn ndani ya kikaango.Niletee picha ya mapokezi ya Zitto leo hayo mabango soma mwenyewe...
Kwa hiyo mapokezi ya Lema na Zitto unasemaje....
Huwezi kuwafananisha hao wavuta bangi waliokuja kumlaki muhuni mwenzao Lema, na hawa wananchi wazee, wakinamama, wakinababa, vijana na watoto walikuja kumpokea mbunge wao zitto.
Hakuna wakumfananisha na Zitto Chadema nzima na wanajua Hilo,Zitto kisiki cha Mpingo. Kataeni tuu kwa uzembe na chuki lakini kajana kichwa...
Huwezi kuwafananisha hao wavuta bangi waliokuja kumlaki muhuni mwenzao Lema, na hawa wananchi wazee, wakinamama, wakinababa, vijana na watoto walikuja kumpokea mbunge wao zitto.
Wewe ni kiongozi wa Chadema. Je, lengo lako la kufananisha mapokeza ya wabunge hawa ambapo mmoja amepokewa kwenye JIJI la Arusha na mwingine amepokewa kwenye MJI wa Kigoma ni nini?
Kwanza angalia utofauti wa mazingira. Lema amepokewa kwenye barabara ya lami, Zitto yuko vumbini. Sasa tuambie lengo lako ni nini?
Wazazi tunaaswa kutafakali kabla mwanao huja mpa jina mwanao...Msalani kwa lugha ya kwetu maana yake ni CHOONI!
Nasikia kuna mahusiano kati ya majina ya mtu na matendo yake!Kutokana na mchango wako hapo juu sina shaka kabisa kuwa matendo na sura yako vinafanana na kinachotengenezwa CHOONI!
hapo ukn sahihi mkuu?Katika mapokezi na mkutano wa Zitto picha zote na hata jukwaa alilolutumia hakuna bendera ya CHADEMA,hata kwenye maandamano ya wafuasi wa Zitto na pikipiki hakuna bendera ya CHADEMA,na ikumbukwe Zitto amejitapa sana kuwa anakipenda CHADEMA na angependa hata mtoto wake aje kuwa CHADEMA,Mbunge wa CHADEMA na unayehubiri mapenzi kwa chama unakosaje hata bendera moja ya chama kwenye mkutano wako?? Huu sio unafiki??!!
Tukisema kuwa mkutano huu umeratibiwa kwa maelezo maalum na pia kuandaa hadhira mathalani wasibebe bendera wala alama yoyote ya chama Tutaongea?? Tukisema mkutano huu ni wa mamluki dhidi ya CHADEMA tutakosea??!! Zitto ni mtu wa ajabu sana!!
Kwenye hotuba yake amelialia kutokuaminiwa ila kweli inajulikana kuwa matendo ya mtu ya kutilia shaka au maouvu ndio hufanya mtu asiaminike,imani hainunuliwi bali inatengenezwa kwa hiyo matendo ya Zitto ndio yanafanya uonekane msaliti
Kigoma inahistoria chafu ya kutoa wanasiasa wanafiki,wazandiki na wachumia tumbo na Zitto nathubutu kusema ni mmoja wao,Kigoma ingebaki kutoa wacheza mpira na wanamziki kama wakina Kaseja,Maulidi,Ali Kiba n'a wengine lakini si viongozi wa siasa,kwani ni wezi wa fikra na imani za walalahoi kwa maslahi yao binafsi n'a watu wanaowatumikia!!!
Hii nayo ni sera ya CHADEMA?Msalani kwa lugha ya kwetu maana yake ni CHOONI!
Nasikia kuna mahusiano kati ya majina ya mtu na matendo yake!Kutokana na mchango wako hapo juu sina shaka kabisa kuwa matendo na sura yako vinafanana na kinachotengenezwa CHOONI!
CDM inabidi mjirekebishe kwakweli hivi kwanini kila linapotolewa swala lolote ndani ya chama lazima mtumie mbinu za compare and contrast the difference kama sio kwa CCM, basi viongozi wenu kwa viongozi wenu tabia za kidada dada.
No wonder asilimia kubwa ya washabiki wa CDM wakitoka humu kwenye siasa ndio walewale wanaotawala majukwaa yaliyoko the south of JF home page, tells what sort of men they are in books useless.
kwikwii, nchi yao ipi? Ya kigoma au mwandiga?
Wazazi tunaaswa kutafakali kabla mwanao huja mpa jina mwanao...
Zitto ni zaidi ya Chadema leo wazee wa gongo mtahangaika sana, teh teh tehWewe muda wote unawaza kuosha watoto wa kiarabu tu, kwenye mada hii tunazungumzia mapokezi na si bungeni...
mkuu suala la uzinzi hakuna anayesalimika, sio mbowe,zitto, kilango, kagasheki wala jk!Na Mbowe Yuko super smart kwenye uzinzi.?