PICHA: Mapokezi ya Godbless Lema jijini Arusha - Disemba 22, 2012

PICHA: Mapokezi ya Godbless Lema jijini Arusha - Disemba 22, 2012

Lema:
ndugu zangu juzi nilikuwa muleba, nikapigiwa simu kuwa hukumu yangu ni tar 21. nikajiuliza mbona imekuwa ghafla.
nikamweleza katibu mkuu kuwa nimepata taarifa ya hukumu, katibu akamiambia naye amepata taarifa.
katibu akanimbia kwakuwa uko mbali we piga kazi tutakupokelea hukumu yako.
nikamwambia sawa.
Lakini mke wangu akaniambia amesoma kwenye mitandao ya jamii kuwa hukumu yako ni ijumaa unaenda? nikwambia mke wangu siendi kama ni mbaya au nzuri tutapokea tukiwa huku tunapiga kazi.
mke wangu akaniambia nenda kwa maana Mungu anakwenda kufuta machozi ya Arusha.
Nikamwuliza Tundu hiyo hukumu imekaaje?
Tundu akaniambia bana mi sipigi ramli we twende mahakamani.
Nikamwuliza Mawazo niliyekuwanaye Muleba aniambie mawazo yake...... Mawazo akaniambia bwana tupige kazi hukumu itukute huku. nikampigia mke wangu kuwa siendi. mke wangu akaniambia kwa hili naomba nisikilize nenda mahakamani.
Tulipokuwa mahakamani hukumu ikaanza kusomwa. Golugwa akanikonyeza, nami nikamkonyeza katibu mkuu, tundu naye akanikonyeza maana ngoma ilikuwa kwa chadema.
sasa kakake Tundu akawa ameshika kichwa.
mkanga na wenzake wakawa wanasikiliza tu hawajui kinachoendelea maana hata kiingereza hawajui. hata mary chatanda sidhani kama anajua neno ofcourse!
hukumu ikasomwa Lema nikawa mbunge.
sasa tumeshinda kesi hawa watu watalipa pesa.
Nyumba ya mkanga mteja wake tayari yupo hapa, nimemwambia anilipe advance kabisa.
Mahakamani wamesema wanatakiwa kulipa milioni mia tatu na hamsini....... hiyo si kweli kwasababu wamepiga haraka haraka!
Lengo la hawa jamaa kufungua kesi ilikuwa kuni frustrate ili nisifanye kazi.
watalipa pesa zote bila huruma!

ninarudi bungeni mtindo ni uleule...... nimeamua die or live

MUNGI unajitahidi sana
 
Lema:
ndugu zangu juzi nilikuwa muleba, nikapigiwa simu kuwa hukumu yangu ni
tar 21. nikajiuliza mbona imekuwa ghafla.
nikamweleza katibu mkuu kuwa nimepata taarifa ya hukumu, katibu
akamiambia naye amepata taarifa.
katibu akanimbia kwakuwa uko mbali we piga kazi tutakupokelea hukumu
yako.
nikamwambia sawa.
Lakini mke wangu akaniambia amesoma kwenye mitandao ya jamii kuwa hukumu
yako ni ijumaa unaenda? nikwambia mke wangu siendi kama ni mbaya au
nzuri tutapokea tukiwa huku tunapiga kazi.
mke wangu akaniambia nenda kwa maana Mungu anakwenda kufuta machozi ya
Arusha.
Nikamwuliza Tundu hiyo hukumu imekaaje?
Tundu akaniambia bana mi sipigi ramli we twende mahakamani.
Nikamwuliza Mawazo niliyekuwanaye Muleba aniambie mawazo yake......
Mawazo akaniambia bwana tupige kazi hukumu itukute huku. nikampigia mke
wangu kuwa siendi. mke wangu akaniambia kwa hili naomba nisikilize nenda
mahakamani.
Tulipokuwa mahakamani hukumu ikaanza kusomwa. Golugwa akanikonyeza, nami
nikamkonyeza katibu mkuu, tundu naye akanikonyeza maana ngoma ilikuwa
kwa chadema.
sasa kakake Tundu akawa ameshika kichwa.
mkanga na wenzake wakawa wanasikiliza tu hawajui kinachoendelea maana
hata kiingereza hawajui. hata mary chatanda sidhani kama anajua neno
ofcourse!
hukumu ikasomwa Lema nikawa mbunge.
sasa tumeshinda kesi hawa watu watalipa pesa.
Nyumba ya mkanga mteja wake tayari yupo hapa, nimemwambia anilipe
advance kabisa.
Mahakamani wamesema wanatakiwa kulipa milioni mia tatu na hamsini.......
hiyo si kweli kwasababu wamepiga haraka haraka!
Lengo la hawa jamaa kufungua kesi ilikuwa kuni frustrate ili nisifanye
kazi.
watalipa pesa zote bila huruma!

ninarudi bungeni mtindo ni uleule...... nimeamua die or live

dah lema ni barack obama wa Arusha
 
Lema:
Tutapigana vita vya haki mpaka kieleweke.
Ninawapa ujasiri........ Nashangaa wezi kama akina Ngeleja na Lowassa wanapita barabarani hamuwakamati!
Muda uliopo si wa kutumiana meseji kuwa ccm ni mafisadi ccm ni mafisadi.......... muda uliopo ni kamata mwizi!
mkimwona Lowasa anapita mkamateni mniite mimi nimshughulikie!
 
Lema:
ndugu zangu juzi nilikuwa muleba, nikapigiwa simu kuwa hukumu yangu ni tar 21. nikajiuliza mbona imekuwa ghafla.
nikamweleza katibu mkuu kuwa nimepata taarifa ya hukumu, katibu akamiambia naye amepata taarifa.
katibu akanimbia kwakuwa uko mbali we piga kazi tutakupokelea hukumu yako.
nikamwambia sawa.
Lakini mke wangu akaniambia amesoma kwenye mitandao ya jamii kuwa hukumu yako ni ijumaa unaenda? nikwambia mke wangu siendi kama ni mbaya au nzuri tutapokea tukiwa huku tunapiga kazi.
mke wangu akaniambia nenda kwa maana Mungu anakwenda kufuta machozi ya Arusha.
Nikamwuliza Tundu hiyo hukumu imekaaje?
Tundu akaniambia bana mi sipigi ramli we twende mahakamani.
Nikamwuliza Mawazo niliyekuwanaye Muleba aniambie mawazo yake...... Mawazo akaniambia bwana tupige kazi hukumu itukute huku. nikampigia mke wangu kuwa siendi. mke wangu akaniambia kwa hili naomba nisikilize nenda mahakamani.
Tulipokuwa mahakamani hukumu ikaanza kusomwa. Golugwa akanikonyeza, nami nikamkonyeza katibu mkuu, tundu naye akanikonyeza maana ngoma ilikuwa kwa chadema.
sasa kakake Tundu akawa ameshika kichwa.
mkanga na wenzake wakawa wanasikiliza tu hawajui kinachoendelea maana hata kiingereza hawajui. hata mary chatanda sidhani kama anajua neno ofcourse!
hukumu ikasomwa Lema nikawa mbunge.
sasa tumeshinda kesi hawa watu watalipa pesa.
Nyumba ya mkanga mteja wake tayari yupo hapa, nimemwambia anilipe advance kabisa.
Mahakamani wamesema wanatakiwa kulipa milioni mia tatu na hamsini....... hiyo si kweli kwasababu wamepiga haraka haraka!
Lengo la hawa jamaa kufungua kesi ilikuwa kuni frustrate ili nisifanye kazi.
watalipa pesa zote bila huruma!

ninarudi bungeni mtindo ni uleule...... nimeamua die or live

Kazi nzuri Mungi.Endelea...
 
Last edited by a moderator:
Ametaja vyombo vya Habari vinavyopiga propaganda
 
dah lema ni barack obama wa Arusha

ImageUploadedByJamiiForums1356187579.251778.jpg
Hyo ndo Chuga
 
Ndo starehe ya vijana wa chadema,manake ni viroba na ganja kuanzia sasa hv mpaka wanasahau siku ya uchaguzi ni lini,wanaanza kuandamana baada ya matokeo kutangazwa na kutishia kuingia msituni.,,,,na haohao wanaoleta migogoro kwenye chama.

Kama ni hivyo, mbona CCM YENU HAIKUSHINDA.

ACHA KUROPOKA WEWE!!
 
Safi sana kamanda!

Lema:
Tutapigana vita vya haki mpaka kieleweke.
Ninawapa ujasiri........ Nashangaa wezi kama akina Ngeleja na Lowassa wanapita barabarani hamuwakamati!
Muda uliopo si wa kutumiana meseji kuwa ccm ni mafisadi ccm ni mafisadi.......... muda uliopo ni kamata mwizi!
mkimwona Lowasa anapita mkamateni mniite mimi nimshughulikie!
 
milion mia tatu hao ambao hata hawajui kingereza watazitoa wapi? hahaha kwishney kwao na ccm wamewaruka
 
CCM mna kazi ngumu sana Arusha, mzee ngoyayi naona ugonjwa wako wa kutetemeka unazidi kuongezeka! Pole yenu CCM!
 
CCM mna kazi ngumu sana Arusha, mzee ngoyayi naona ugonjwa wako wa kutetemeka unazidi kuongezeka! Pole yenu CCM!

mida ya saa tisa leo nimemuona Lowasa Arusha airport anakimbia mji baada ya Lema kuwasili.
Nimemuangalia kwa makini Lowasa kwa kweli mzee huyu anaumwa sana, anatetemeka kama kapigwa shoti.
 
Back
Top Bottom