PICHA: Mapokezi ya Godbless Lema jijini Arusha - Disemba 22, 2012

PICHA: Mapokezi ya Godbless Lema jijini Arusha - Disemba 22, 2012

Naona sasa ni michango kwa ajili ya ununuzi wa gari unaendelea.Kamanda Lema ndio anaongoza harambee hiyo.Kikubwa alichonifurahisha ktk hotuba yake ni kuvitaja hadharani vyombo vya habari vinavyotumika kuihujumu chadema ikiwepo star tv.Huu ndio ujasiri tunaoutaka.
 
Jamani mimi huku nje nitachangiaje mh nafuu jamii forum kwa kweli iekuwepo tangu asubuhi niko hapa. Ila nijulisheni nitachangia vipi gari ya mbunge wetu na mkombozi wetu ee Mungu ukombozi umetimia.
 
Niliacha kuendelea kuripoti kwani nilikuwa pamoja na Crashwise na Mungi haikuwa busara turipoti the same thing all of us, hence nikategea. Baada ya mkutano michango ilipitishwa na ilipatikana cash 1,500,000/= milioni moja na laki tano taslim.
 
Last edited by a moderator:
31541_349340761831236_1227166294_n.jpg


Hii ndio hali halisi tukielekea uwanjani leo asante sana Arusha.

382036_349343078497671_1357885367_n.jpg

Umati uwanjani ni mkubwa sana kabla ya mkutano kuanza. (picha kwa hisani ya John Heche)

:target::majani7::cheer2:HONGELA LEMA, HONGERA ARUSHA. JAMANI WATANZANIA HAKUNA UKAKAC TENA WENZETU ARUSHA WAMEFUNGUKA! WATANZANIA WA MIKOA MINGINE HASA KULE AMBOKO TAYARI KUNA VUGU VUGU KAMA MBEYA IRINGA, DAR, MWANZA, KAGERA, MARA RUKWA NK.EBU TUIGE HUO MSHIKAMANO WA ARUSHA TUITOE TANZANIA KATIKA MIKONO MICHAFU YA WEZI AMBAO KAZI YAO NI KUIBA, KUSAMEANA NA KUNYAMAZIANA HUKU WAKIAMBIANA KUWA HUO N UPEPO UNAPITA.

:majani7:MERY CHRISMAS & HAPPY NEW YEAR LEMA NA WANA ARUSHA WOTE BILA KUJALI ITIKADI. MUNGU IBARIKI TZ.:majani7:
 
Leo ni viroba tu na ganja.

Kiroba cha mkuu kumfanya rey C kuwa miongoni mwa nyumba zake. Hivi mkuu anajiuliza anao wangapi. Hebu, tupe kadirio kwa uchache mama wadogo zako wako wangapi?

Kwenye pornography za rey C, mkuu hivi hayumo!
 
Mbona star tv walikuwa hawafungaman naupande wowote imekuwaje tena?ime amua kujivunjia heshima mbele ya jamii wawe makini wasijewakasusiwa matangazo
 
Mungi kwa live ni kiboko!

sijui anatumia simu, tab au laptop?

safi sana Mungi

thanks kamanda.............. natumia mchina lakini yupo fast kuliko kawaida manake mtumiaji mwenye ziko mbele dakika tano hahaaaaaa
 
Back
Top Bottom