Nassari:
Nilichaguliwa kuwa mbunge wa A/mashariki, siku tatu baadaye ccm kwa hila wakamvua ubunge brother.
Nilikabidhiwa jimbo, Dr. Slaa akamwambia Lema hakikisha unamleta Nassari bungeni.
Lema akanikabidhi jimbo la Arusha, akanikabidhi wamachinga, akanikabidhi majukumu nikamwambia nikabiliana vipi akaniambia kamanda komaa.
Lema alivuliwa ubunge alhamisi, akanikabidhi jimbo jumamosi na leo jumamosi namrudishia jimbo lake.