Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,700
- 11,298
Haya maneno naona kama yana ujumbe fulani,nuenda ni kweli CCM waliona Lema kawa hatari zaidi akiwa nje ya mjengo lakini all in all CHADEMA ni majembe kwa vyovyote vile wanasonga mbele muda umefika.Hata wakoloni walikuwa wanaamini kwamba watatawala milele lakini waliondoka sembuse CCM lazima ing'okeAlianza usumbufu wa kutembelea majimbo mbalimbali nchi nzima ndiyo maana kamati ya ufundi ikiongozwa na wazee wazima akina Mangula wameona arejeshwe mjengoni ili M4C iwe kushney. Kwa fukuta CDM maana wanazidi kujianika hata kama coverage ya media itakuwa ni ushind wa Lema, viva CCM, RIP CDM