heche:
Arusha ni kitovu cha chadema arusha ni kitovu cha mabadiliko!
Hatutakubali kuipoteza arusha ambayo ni tumaini la watanzania.
Lowassa anashangaa kwanini arusha chadema bado ipo!
Nami nashangaa kwanini lowassa anatembea hadharani wakati ni mwizi na fisadi na alitakiwa kuwa magereza!
Nitoe nafasi hii kutoa wito kwa serikali kuwa chadema inataka uchaguzi wa madiwani wa arusha uitishwe mara moja.
La sivyo, wao wana polisi na sisi tuna wananchi tuone kama watakabiliana na umati wa wananchi kama hawa.
Madiwani tuliowatimua hatutawaacha hivihiv, watatulipa milioni 15, tayari wameshalipa milioni mbili na laki tano.
Wasipomaliza ni tutawafunga.
Jambo lingine:
Kuna mkakati umeanza tena wa pesa nyingi wa kumchafua dr. Slaa kuanzia sasa mpaka 2015.
Kuna redio zinaanzishwa kwa makusudi maalum, vijana wamenunuliwa ma laptop kwa ajili ya kumchafua dr. Slaa.
Tunataka kuwaambia ccm kuwa dr. Slaa ni chaguo la mungu.
Bahati mbaya sana wana mtu moja mropokaji ambaye ni nape.
Nina wasiwasi na nape kama ni mtoto wa mzee mosses nauye, manake mzee nauye alikuwa mwenye akili na hekima.
thanks kamanda.............. natumia mchina lakini yupo fast kuliko kawaida manake mtumiaji mwenye ziko mbele dakika tano hahaaaaaa
Ikiwa kweli ni ka-mchina, basi nadhani huwa ukiandika, sometimes macho yanakuwa mkutanoni wakati vidole vyenyewe vinacheza na hako ka 'mchina'; unafanya tu kutupia macho kwenye kamchina then mkutanoni haha!!
Vipi huwa hakapigi picha Mkuu Mungi hako 'Ka-Mchina'?! Hahaha!
Ha ha ha ha.Kweli imekuuma.Leo ni viroba tu na ganja.
mkuu hujajua kwamba boss wa star tv ni kada wa magamba? Tena nasikia ameanza kuwapiga biti watangazaji wake kuhusiana na kurusha vipindi vya wapinzani.Mbona star tv walikuwa hawafungaman naupande wowote imekuwaje tena?ime amua kujivunjia heshima mbele ya jamii wawe makini wasijewakasusiwa matangazo