Picha: Magereza na Mambosasa waanza kuumbuka

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,499
86,037
Eti hawa akina Mama walitaka kuvunja gereza! Eti Bulaya na Halima hapo ndio wammevamia Magereza! Acha Ulimwengu uone uhuni wa hawa watu! Ukiangalia kwa umakini unaona kuwa Askari wanawavutia kwenye geti, chini kule kuna gari inapita meaning walikua mbali kabisa na lango la gereza!!

Time will tell
IMG_20200321_021932.jpg

Screenshot_20200321-024751~2.png

Screenshot_20200320-205250.png
 
Dunia ya kidijitali haina huruma kwa wanafiki
Eti hawa akina Mama walitaka kuvunja gereza! Eti Bulaya na Halima hapo ndio wammevamia Magereza! Acha Ulimwengu uone uhuni wa hawa watu! Ukiangalia kwa umakini unaona kuwa Askari wanawavutia kwenye geti, chini kule kuna gari inapita meaning walikua mbali kabisa na lango la gereza!!

Time will tell

In God we Trust
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom