swissme
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 13,663
- 19,906
ni ccm ndio imetufikisha hapo.Watutangazie ruhusa tukalale nyumbani;
sasa kama huko kwa matajiri kuko hivyo
huko uswazi kwetu kutakuwaje;
swissme
ni ccm ndio imetufikisha hapo.Watutangazie ruhusa tukalale nyumbani;
sasa kama huko kwa matajiri kuko hivyo
huko uswazi kwetu kutakuwaje;
Kwetu kinyerezi hamna mafuriko labda waliojenga mabondeni. Dar zipo sehemu salama ila watu wengi wa kuja wamevamia maeneo eti karibu na bahari, wakati ni bondeni. Kukaa uswahilini au mbali na mji watu hawataki. Wote wanakuwa "clustered" sehemu moja kwa kisingizio karibu na mjini matokeo ndiyo hayo mafuriko. Mkuu zipo sehemu salama na nzuri. Nimekulia chang'ombe na temeke umesikia kumewahi kufurika huko?Sehemu gani Dar hii mvua kubwa zikinyesha maji hayafuriki?
Nyingi sana mkuu. Unless kwako wewe Dar ni mikocheni na mbezi beach, maana ndiyo habari ya hii mada. Achana na mafuriko yanayosababishwa na mitaro kutokusafishwa na ujenzi holela wa hapa mjini posta and kariakoo. Zipo sehemu salama sana. Kwa mfano ninakokaa hakuna mafuriko labda kwa waliojenga bondeni tena bonde ambalo tulilipwa na songas. Wenyewe songas wakija after many years watu watalia kilio cha mbwa.Sehemu gani Dar hii mvua kubwa zikinyesha maji hayafuriki?
Ni kweli mkuu Dar yote ni bonde. Ila kuna sehemu chache ziko juu na ni salama. Tatizo lingine kila mtu anataka kuishi Dar sasa tumefurika. Tuanze kwenda mikoa mingine. Ila nako yapo. Moshi watu kibao wamekosa makazi baada ya mafuriko. Jibu ni kuwa kabla mtu hajajenga nyumba ahakikishe hiyo sehemu ni salama.Dar yote ni bahari....
Kuna siku tulienda kuangalia kiwanja na mshikaji maeneo ya makonde mbezi ya kimara...kiwanja kilikuwa kikuuubwa afu bei ndogo ukilinganisha na uzuri wa kile kiwanja ...Thats word, final and complete!!!
Watutangazie ruhusa tukalale nyumbani;
sasa kama huko kwa matajiri kuko hivyo
huko uswazi kwetu kutakuwaje;
Kuna siku tulienda kuangalia kiwanja na mshikaji maeneo ya makonde mbezi ya kimara...kiwanja kilikuwa kikuuubwa afu bei ndogo ukilinganisha na uzuri wa kile kiwanja ...
Tuakkubaliana kabisa kuwa tunaleta ela siku inayofuata...Mungu mkubwa...mvua si ikanyesha...aisee gari ilikuwa na four wheel lakini tulishuka na kuanza kutembea kwa miguu maana ilikuwa inateleza hakuna maelezo...dongo la mfinyazi haswa...
Tulivyofika tukamwambia yule mama tutakuja tena siku nyingine...nahisi aligundua tumeshtuka...akaanza ooh mtashirikiana na wenzenu majirani kutengeneza hii barabara...hahahaha...tutengeneze barabara sie tanroads...
Yani tulishukuru mmno...from that day ikawa formula...kiwanja kizuri utakijua wakati wa masika
Nyingi sana mkuu. Unless kwako wewe Dar ni mikocheni na mbezi beach, maana ndiyo habari ya hii mada. Achana na mafuriko yanayosababishwa na mitaro kutokusafishwa na ujenzi holela wa hapa mjini posta and kariakoo. Zipo sehemu salama sana. Kwa mfano ninakokaa hakuna mafuriko labda kwa waliojenga bondeni tena bonde ambalo tulilipwa na songas. Wenyewe songas wakija after many years watu watalia kilio cha mbwa.
Mkuu nahc hukai dar!!Ndio tatizo la kujenga mabondeni...sijui watu wanapapendea nini? ...nina bro angu kila masika yeye kwake mafuriko...lakini utamsikia nakaa mbezi beach
Dar kuna maeneo hata mvua inyeshe mwezi maji hayatuami...ila tatizo ni kasumba za nakaa mbezi beach...kwi kwi kwi...tena wale waliokuja mjini ukubwani wanapapenda mbezi beach balaa...
Kama una pesa yako kwa nini usitafute eneo lisilo na majanga...
Hata tajiri yetu nae anakaa kwenye mafuriko wakati angeweza nunua farm maeneo mengine nje ya mji akatulia...
Hahahah kuna msasani napo sijui pana hali ganiiHaahaaa! !!!!!! Eti nakaa mbezi beach.
Umenikumbusha nikiwa mkoania enzi hizo jamaa wanatutambia kuwa wapo mwananyamala. Sasa nilipotia timu mjini nikaona hayo makazi . jamani, jamani, jamani! !!!! . Kama ujanja nikuishi dar tu basi bwana
Kuna mdau hapo kasema temeke na kweli sina kumbukumbuku kusikia mafuriko hukoSehemu gani Dar hii mvua kubwa zikinyesha maji hayafuriki?
Pameinuka hayo maeneo ukienda hadi kibamba kibaha nkKimara na mbezi ya morogoro road kuko pouwa hamna mafuriko au Temeke na mbagala huko ni mchanga hamna mafuriko mkuu.
Hata huku kwetu Oysterbay hakuna mafuriko.Kuna mdau hapo kasema temeke na kweli sina kumbukumbuku kusikia mafuriko huko