PICHA: Mafuriko Maeneo mbalimbali jijjini Dar

PICHA: Mafuriko Maeneo mbalimbali jijjini Dar

Tatizo mipango miji zero, watu wanajijengea tu, tena huko mafuriko yalipo ndo kumepimwa kabisa. Tatizo jingine kubwa sio mafuriko yanayotokea dar sasaiv shida ni kwamba miji inayoendelea kukua hakuna strategies zinazoreflect makosa ya dar, lazima tukubali sis wadanganyika ni vilaza ambao hawajawahi pata tokea hapa duniani, yan inabid tuingizwe kwenye kumbu kumbu za kimataifa.
Jiingize wewe na ukoo wako.
 
Tatizo mipango miji zero, watu wanajijengea tu, tena huko mafuriko yalipo ndo kumepimwa kabisa. Tatizo jingine kubwa sio mafuriko yanayotokea dar sasaiv shida ni kwamba miji inayoendelea kukua hakuna strategies zinazoreflect makosa ya dar, lazima tukubali sis wadanganyika ni vilaza ambao hawajawahi pata tokea hapa duniani, yan inabid tuingizwe kwenye kumbu kumbu za kimataifa.
jiwekeni wewe na ukoo wako.
 
nawaza maji taka tu yanavyokanyagwa na kuingia masebuleni...kipindupindu kitaisha vipi?
kwa nchi ambayo ni kubwa ki eneo tulitakiwa tukwepe haya maji..mafuriko hayazuiliwi kwa mikono...
Kama nchi tajiri tu yanawatoa jasho si ndo kwa mipango gani tutaepuka mafuriko...dawa ni kama una ela tafuta eneo zuri...ukisubiri mipango miji utasubiri sana
 
Wanaume Wa mkoa sijui mkojeeee....kazi umbea. Sasa hili swala linahusiana VP na uanaume???
We unadhan kila mvua inahitaj jembe????
Dar utalima lami??

Mwanaume akiongea kaa kimya siyo unaanza kiherehere cha kujibu hapa.
Nyie wanaume wa Dar ni walalamishi Sana, wake zenu ni vyupi mkononi, yaani ukitaka kubanjua mke wa mtu basi Dar ndo sehemu sahihi
 
Ndio tatizo la kujenga mabondeni...sijui watu wanapapendea nini? ...nina bro angu kila masika yeye kwake mafuriko...lakini utamsikia nakaa mbezi beach

Hahahahahaaaaa nimecheka kwa sauti kubwa looh
 
poleni sana watu wa dar hasa maeneo yaliyokumbwa na mafuriko
 
Mwambieni Magufuli avunje Dar nzima maana sio salama tena, mlituambia mabondeni ndio tatizo sasa kumbe si sahihi.. Vunjeni ondokeni Dar iwe bahari ya chumvi na maji ya mvua.

Ndugu mwanachama wa JF, unafatilia habari za nchi vizuri? Msimu huu wa mvua mafuriko yako karibu mikoa mingi na inaharibu makazi ya watu. Hivyo ukisema watu wahame Dar na kwenda mikoa mingine ili wakaishi kwenye mito na maziwa yaliyofurika?
Pia mafuriko haya sio Dar tuu juzi juzi tuu Houston palifurika na makazi ya watu yalijaa maji na huko ni USA ambayo miundombinu yake iko superb bin perfect bin kurekebishwa mara kwa mara.
Tofauti tuu mafuriko kwetu ni kila inyeshapo mvua wakati wao ni pale inapotokea disaster kuwa mvua imenyesha kubwa mno.
 
Back
Top Bottom