PICHA: Mafuriko Maeneo mbalimbali jijjini Dar

PICHA: Mafuriko Maeneo mbalimbali jijjini Dar

Ndugu mwanachama wa JF, unafatilia habari za nchi vizuri? Msimu huu wa mvua mafuriko yako karibu mikoa mingi na inaharibu makazi ya watu. Hivyo ukisema watu wahame Dar na kwenda mikoa mingine ili wakaishi kwenye mito na maziwa yaliyofurika?
Pia mafuriko haya sio Dar tuu juzi juzi tuu Houston palifurika na makazi ya watu yalijaa maji na huko ni USA ambayo miundombinu yake iko superb bin perfect bin kurekebishwa mara kwa mara.
Tofauti tuu mafuriko kwetu ni kila inyeshapo mvua wakati wao ni pale inapotokea disaster kuwa mvua imenyesha kubwa mno.
Kwa hiyo wale walio vunjiwa walionewa si ndio ukweli huo? Suala ni miundo mbini si kuvunja baadhi ya nyumba na kuacha nyingine wakati adha ni ileile, lile eneo laweza kuwa linahitajika kwa matumizi mengine mvua ilikuwa kisingizio tu, ndio maana nimesema Dar nzima avunje basi ishu si mafuriko?
 
Ok, but you dont know if it was 12'' rain or not....but you know its a drainage problem, in DAR i mean.

The problem with Dar is not a sole one. But, I am one hundred percent sure that bad drainage system or rather lack thereof, is part of it.
 
The problem with Dar is not a sole one. But, I am one hundred percent sure that bad drainage system or rather lack thereof, is part of it.
Ok, all I'm saying is, you can have a very good drainage system but when it rains heavily like 12'' or more in 24hrs, there is nothing you can do, thats why we see floods in USA,UK,JAPAN where they have the more advanced drainage systems.
 
Ok, all I'm saying is, you can have a very good drainage system but when it rains heavily like 12'' or more in 24hrs, there is nothing you can do, thats why we see floods in USA,UK,JAPAN where they have the more advanced drainage systems.

On that I'm with you one thousand percent.

You are not gonna get an argument from me about it.

12 inches of rain or snow for that matter, in a span of 24 hours is no joke.

It will shut down any city in the world.

I don't think yesterday's rain was that much and it definitely did not pour for 24 hours.
 
On that I'm with you one thousand percent.

You are not gonna get an argument from me about it.

12 inches of rain or snow for that matter, in a span of 24 hours is no joke.

It will shut down any city in the world.

I don't think yesterday's rain was that much and it definitely did not pour for 24 hours.

Pamoja.
 
Hata mimi najiuliza hivi zamani kulikuwa hakuna mvua?? Sijawahi kuona mafuriko ya aina hii enzi hizo, mvua kidogo tu maji kila mahali.
Ujenzi holela kwa dar ni shida watu wameziba mikondo maji pia hamna mitaro mikubwa ya maji. Sasa wengi wamejrnga bila kufata master plan. Nadhani system ya utoaji maji kwa dar ni mbovu
 
nchi pekee ambayo mafuriko yamekuwa historia ni Netherlands...mjerumani mmoja alikuwa anawasifu ma engineer wa hii nchi kuwa pamoja na kuwa wako below sea level wameweza kucheza na mifereji mikubwa (canals) hata mvua inyeshe vipi maji hayatuami...
labda tuachne na wachina tuwape tender hawa jamaa
 
Fanyeni kazi zenu acheni kuajiriwa ona mnavyolialia kweli kuajiriwa ni sawa na kuolewa shart ulale bila pichu
 
Back
Top Bottom