PICHA: Mafuriko Maeneo mbalimbali jijjini Dar

PICHA: Mafuriko Maeneo mbalimbali jijjini Dar

Wanaume wa Dar mvua ikinyesha wanalalamika, wanaume wa mikoani mvua ikinyesha tunamshukuru mungu tunachukua jembe tunaenda shambani, tukivuna tunakuja Dar kutumia, tukia Dar mnabaki kulalamika kuwa wake zenu sio waaminifu.

Usinivunje mbavu zangu, Hahahahahahahahah
 
Wanaume Wa mkoa sijui mkojeeee....kazi umbea. Sasa hili swala linahusiana VP na uanaume???
We unadhan kila mvua inahitaj jembe????
Dar utalima lami??
limeni hapo mliman city🙂
 
Hali iko hivi muda huu maeneo mbalimbali katika jiji letu la Dar
Kwa kweli inafaa tuchukue tahadhari na hizi barabara zetu za kibongo hasa kipindi hiki cha mvua.

Wadau kama upo sehemu nyingine yenye hatari kama hii, tupia picha au video ili kila mmoja achukue tahadhari.

Mbezi beach Tangi-Bovu

View attachment 342978

View attachment 342979
View attachment 342980

Maeneo ya Milenium Towers

View attachment 342960

View attachment 342964
Maeneo ya Posta Leo

View attachment 342969 View attachment 342970 View attachment 342972
View attachment 342973

Maeneo ya Mikocheni, Karibu na KFC
View attachment 342985
View attachment 342986

Hapa maji yanaingia ndani, wameweka mchanga mlangoni kuzuia

View attachment 342989
View attachment 342988
Nilivyokuwa mdogo hapo mikocheni enzi hizo kukiitwa msasani watu walikuwa wanavuna chumvi. Hiyo sehemu ni sawa ikifurika. Bahari tulikuwa tunaiona tukipita barabarani. Kufurika ni sawa. Hapo ni bonde fullstop.
 
Nilivyokuwa mdogo hapo mikocheni enzi hizo kukiitwa msasani watu walikuwa wanavuna chumvi. Hiyo sehemu ni sawa ikifurika. Bahari tulikuwa tunaiona tukipita barabarani. Kufurika ni sawa. Hapo ni bonde fullstop.

Sehemu gani Dar hii mvua kubwa zikinyesha maji hayafuriki?
 
Nilivyokuwa mdogo hapo mikocheni enzi hizo kukiitwa msasani watu walikuwa wanavuna chumvi. Hiyo sehemu ni sawa ikifurika. Bahari tulikuwa tunaiona tukipita barabarani. Kufurika ni sawa. Hapo ni bonde fullstop.
Huenda wengi wetu wasikuelewe ulichoandika lakini ndio ukweli. Tatizo pesa zimeingia kwenye mikono ya watu wasiostahili na ndio maana wengine wanadhani eti kuwa kiongozi mstaafu ni lazima uishi jirani na Mwalimu. Maeneo yalishajaa na wanalazimisha kujenga hata kwenye maeneo ambayo Mungu aliyaumba kupitisha maji kwa kisingizio eti "mbona Hong Kong Holiday Inn imejengwa Bharini"
 
Huu mji sio salama tena kwa kuishi,sii Mbezi Beach wala Jangwani..sii Mikocheni wala Tandale kwa Mtogole kote sawa..mafuriko kila mahali yaani hamna namna lazima tuheshimiane,huyu yupo ndani ya nyumba yake ya vigae amekaa sebuleni anastukia maji yanamkiss kiss miguuni wakati yule anayaona live yakiingia ndani,ila yote ni maji!hatari sana.
 
Tatizo mipango miji zero, watu wanajijengea tu, tena huko mafuriko yalipo ndo kumepimwa kabisa. Tatizo jingine kubwa sio mafuriko yanayotokea dar sasaiv shida ni kwamba miji inayoendelea kukua hakuna strategies zinazoreflect makosa ya dar, lazima tukubali sis wadanganyika ni vilaza ambao hawajawahi pata tokea hapa duniani, yan inabid tuingizwe kwenye kumbu kumbu za kimataifa.
 
Mungu mkubwa.......dua za waliodhulumiwa kule mabondeni.Tunaiomba serikali hii TUKUFU iwahamishe wote hao bila ya kuwavunjia kama sisi.Tunawapenda wasije chukuliwa na mafiriko
 
Dah.. na mafuriko haya either uchukue ndoano yako ukavue samaki au ulime mtoto [emoji12]
 
Ngoja heshima iwekwe kwa wote, leo ngoma droo
 
poleni sana Jamani.Daaaaaah.Yaani kama kifupi chenyewe la Jina La Jiji Lenyewe.Daah.Hivyo hatari sana.
 
Dar ni Bongo na Bongo ni akili. Yaani uwezo wa kuishi hapo hata kwemye mafuriko
 
Tunajenga barabara kwa kutumia fedha nyingi lakini wakati wa mvua hazipitiki kwa sababu katika michoro yetu hatuzingatii umuhimu wa DRAINAGE SYSTEMS!!! Hata hiyo barabara ya kutoka Morocco mpaka Mwenge inayojengwa sasa si mnaona imegeuka kuwa mto!!!! Mambo yetu tunafanya kwa pupa bila ya kuwa makini!!!
 
Back
Top Bottom