Kabisa mkuu maana ukicheki makonde tangibovu na mbezi juu si bondeni lakini hali ndo Kama hiyo. Miundombinu hapa ndo tatizo.Sio suala la bonde, ni miundombinu mibovu. Kama Mbezi Makonde, Mbezi juu, Mbezi Tangi bovu nk ni bondeni inabidi Dar nzima ijengwe milimani.
Utalala huko ulipouwiiiiiiiiiiiiii watu wa kunduchi twafikaje nyumbani leo
hakuna pa kulala ndugu.....................Utalala huko ulipo
Basi utaogelea Kama samaki leohakuna pa kulala ndugu.....................
Basi mie nikajua unaongelea yale majogoo yetu labda leo yataanza kupanda Mitungi..Jogoo na kwenyewe hapakanyagiki.
Basi mie nikajua unaongelea yale majogoo yetu labda leo yataanza kupanda Mitungi..
WATABIRI WA HALI YA HEWA WALITOA TAADHALI LAKINI TATIZO HAWATOI USHAURI WATU WAFANYA NINI... POLENI, MASKINI HAPO MAENEO YA MBEZI TANK BOVU KUNA KAKA YANGU .... SIJUI YUKO NA HALI GANI... EBU NIMPIGIE SHEM NIJUE KINACHOENDELEA HAPOMvua ya wiki hii imejiunga na bando la chuo aisee, tena lile bando la wiki. So tuvumilie tu kifurushi kiishe.....
UKO PANDE HIZO AU?? KARIBU MWANZA JIJI LA MIAMBA YA DHAMANIhatare kweli kweli
Hata Kisutu, Magomeni, Manzese ilikuwa bonde la mpunga ukisoma historia ya Dar karne ya 18 na mwanzoni karne ya 19. Vipi na hapo tuvunje nyumba?Hayo yalikuwa mabonde ya mpunga na mikondo ya maji
Hata Un road? Hatari sanaNimepita eneo la Upanga, ukitoka Muhimbili kuja Selander, hali ni mbaya sana. Maji yako kama mita moja na nusu kuja juu, kama una gari iliyo chini chini usipite huko, bi balaa kabisa
Njoo Mbezi tukate maji tupunguze baridi ya mvua[emoji12]sawa
mbezi ipi nitoroke kazini nije baridi sana mkuuNjoo Mbezi tukate maji tupunguze baridi ya mvua[emoji12]
Kabisa ndugu, nilipita pale around saa tatu na nusu asb, hali ilikua mbaya sana. Kile kipande cha kuelekea Diamond Jubilee chote kilijaa maji, kulikua hakujulikani barabara iko wapi na mitaro iko wapi. HatareeeHata Un road? Hatari sana