mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 187
Nimeipenda hiyo ya Njoo Qhadafi Kikwete nenda, Maana sasa wa tz wako tayari kuongozwa na Mgeni (Expart) kuliko na Mkwere
Nadhani kamanda Siro anajitegemea sana kimaamuzi. Anashirikiana na watu vzr pia ndio maana juhudi zake ktk kupambana na ujambazi zinafanikiwa. Big up Siro