Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
ukosefu wa shughuli za kufanya nao ni tatizo kumbe:rain:
A good detailed report!
Aksante kiongozi wetu Mwankuga!
lol,ningependa hayo maandamano yafanyika ktk majiji ya mwaza,arusha,mbeya,dar es salaam na tanga then tutajua tu kama mkwere atatumia polisi au vipi?nimependa kweli peoples of mwanza ,nangojea kwa hamu ya hapa dar es salaam ,
Umenipeleka huko? Mimi naperuuz na kudadis tu ndugu yangu.Na jamaa zako wa CCM je?
Wala si RPC jeshi zima limestuka sasa hivi kazi ipo kwa watawalaKweli hongera kwa RPC wa Mwanza kwa Amani aliyoionyesha Mwanza sisi wa Arusha tunampongeza sana kwa hapa Arusha wakuu wote wa POLISI wanahofu hatujui ni kwa nini ndo maana kila wakati mabomu ya machozi kwa wingi wakati hakuna hata watu wanaleta uvunjifu wa Amani.
Wala si RPC jeshi zima limestuka sasa hivi kazi ipo kwa watawala
Nadhani kamanda Siro anajitegemea sana kimaamuzi. Anashirikiana na watu vzr pia ndio maana juhudi zake ktk kupambana na ujambazi zinafanikiwa. Big up Siro
Mi ndo ningekuwa MRISHO, zamaaaani nshaondoka bora AIBU KULIKO HASARA.
Inafurahisha sana, people's ..............................watanzania wakiwa hivi,mabadiliko yenye kuleta mageuzi ya kweli ya maendeleo yamefika-na ni sasa. PONGEZI POLISI KWA KULINDA USALAMA WA RAIA BADALA YA KUUA KAMA ARUSHA.
ukosefu wa shughuli za kufanya nao ni tatizo kumbe:rain:
Mimi naamini na nitaendelea kuamini kwamba maandamano yatakayoleta MABADILIKO YA KWELI na ya KUDUMU ni yale yatakayoandaliwa na WANANCHI wenyewe bila kuwahusisha WANASIASA. Vinginevyo tuendelee kufanya hizi sinema zisizo tofauti na FIESTA zinazoandaliwa na CloudsFM.