Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 10,703
- 11,812
Useless kwa hiyo wewe unataka umshikie akili zake Mzee Mwanakijiji yaani awe kama nyumbu kwako unachowaza yeye basi automatically kichwani kwake kiingie kama kilivyo.Useless, kwhy ndo ulichoona cha kukosoa kuhusu utawala huu?mambo ya msingi unaacha unafatilia vitu vya ajabu,mzee mwanakijiji unasikitisha sana siku hz
Yeye ameona hilo na amelisemea, wewe ikiwa unaona kuna mapungufu mengine kwenye utawala useme kivyako. BTW huyu jamaa kasema kwa kipindi cha miaka mitatu sijui kama hilo dude liko pale kwa miaka mitatu inawezekana lipo toka enzi za Mkapa. Lakini pia Mzee Mwanakijiji anaweza kuwa ameongea lugha ya taarabu.