Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 53,856
- 99,877
Umenichekesha sana.Nimesomaaa...nikabukuaaaaa...mara nikasikia wanaimba ...embeeeee...embeeee!Mmmmhfff!Nimevumilia lakini nimeshindwa kujizuia.. nani anatakiwa kusimamia hili dubwasa likawa presentable... Limekuwa hivi hivi kwa karibu mwaka wa tatu sasa.. na hivi liko moja tu?
View attachment 948666
Sijui kwanini inanikumbusha dawati langu shule ya Msingi Golfu Juu...