mwaJ
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 4,074
- 2,947
Kila kifanyikacho tanzania, kwangu ni drama!! Nasikia kuchekaaaaaaa!
Wewe unasikia kucheka? Mwenzio nimecheka saaana tu, ila huku ninasikitika! Home sweet home. Lol!
Kila kifanyikacho tanzania, kwangu ni drama!! Nasikia kuchekaaaaaaa!
niwache nipumuweBujibuji huzitendei haki mbavu zangu!
Bujibuji kadata siku nyingiiiiiiiiiiii acha tu nakwambia!
Duh! Hii nilifikiri ni choo, kumbe ni ofisi kazi ipo!
Uzuri wa Tanganyika ya JK Nyerere kila MKOA lazima Uwe na Uwanja wa NDEGE hata kama ni VUMBI; Hivyo basi Wakati wowote Utahitajika KUTUMIKA
Ukiangalia KENYA Pamoja na MAENDELEO yake VIWANJA VIPO Maeneo ambayo yana RANGI ya KIJANI ukiwa ANGANI
Maeneo ya TURKANA inabidi uwe ha HELIKOPTA; Maendeleo hayo ni ya KIBINAFSI
Lodwar nayo?
kuna mtu alijifunzia kwenye hilo bango namna ya kuchora ndege hahahaha!!
Usiwadanganye wakuu hapa, unajua wajir iko wapi?
Na Lokichoggio?
http://mw2.google.com/mw-panoramio/photos/medium/3049226.jpg
http://2.bp.blogspot.com/_xaQ59EaDbT4/TVMVJCAon0I/AAAAAAAAA1Y/1abvIjF3MAk/s400/DSCN1006.JPG
CHECK THE MAP... WAJIR is not TURKANA... NA AIRPORT za KENYA nyingine ni PRIVATELY OWNED... UP NORTH ANGALIA -- JARIBU KUTUMIA RAMANI>>>
F.Y.I -- HIYO MIJI YENYE BLACK DOT; NDIO yenye AIPORT
Unamaanisha nini kusema wajir is not turkana?
I gave you a photo of Wajir airport, a link of Lokichoggio airport,another of Lodwar now you want to argue they are privately owned?
No airport in kenya is privately owned maybe airstrips and your map has left out numerous others
Kila kifanyikacho tanzania, kwangu ni drama!! Nasikia kuchekaaaaaaa!