Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
jaman muwe serious icho ni kichaka cha vibaka au uwanja wa ndege mbona ze comedy inaanza mapema wakati uwa ni alhamis
Hili Bango hususan picha ya ndege na Kiswa - Engilsh, liliwezaje kukubaliwa na kupokelewa na Afisa Ugavi ?
Kila kifanyikacho tanzania, kwangu ni drama!! Nasikia kuchekaaaaaaa!
kuna mtu alijifunzia kwenye hilo bango namna ya kuchora ndege hahahaha!!
[h=3][/h]
Hili ni bango utakalokutana nalo ukiwa unaelekea uwanja wa ndege wa Singida uliopo maeneo ya Sabasaba.
Hii ni ofisi ya wahudumu wa uwanja wa ndege wa Singida.
Maandhari ya uwanja wa ndege wa Singida unapoingia.Hapo ndipo ndege zinapotuwa na kupaa.
Helicopter ikijiandaa kutua kwenye uwanja wa ndege wa Singida.
PICHA KWA HISANI YA CHUMA BLOG
Hii ndio bongo bwana. kule morogoro vijijini kata kadhaa wenyeji wake wanajisaidia mtoni wakubwa kwa watoto! ukifika huko kwa mara ya kwanza utatafuta choo mpaka uchanganyikiwe.Na la kuongozea ni kua tumeadhimisha miaka 50 ya uhuru lakini Wilaya ya Mbulu imeripotiwa mpaka sasa hivi watu takribani 72 washakukufa kwakukosa huduma ya vyoo kutokana na magonjwa ya homa ya matumbo kutokana na kujisaidia ovyo!
NaUpload picha muone.