jamiiyamtimkavu
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 274
- 192
Usipoheshimu ni ngumu kuheshimiwa. Kitendo cha mkuu kumkumbatia aliyefoji na kuwadharau walio sotea elimu inajenga chuki kwa walio wengi bila kujali itikadi zao, sema wengine wanasema wengine wanaumia moyoni. Huo ndio ukweliKwa kweli tujenge tabia ya kuheshimiana