Haki itatendeka tu,mh anasubiri report,forgery ya Bashite ni very complicated sio ile ya cheti fake au ya kutumia jina la mtu na mwenye cheti akajitokeza hizi mbili ni offence direct,lakini Bashite,alifeli mara kadhaa,anarudia,anarudia,he never given up

,imebidi nicheke maana jamaa kama mbizi alipiga. Akasoma Chuo,akala nakozi watt wa kiswahili wanaita chini akarudi akagraduate kwa majina ambayo baadae alirekebisha mahakamani,sasa kwa sheria ipi utamhukumu maana hapo hata mahakimu au wanasheria nao lazima waumize kichwa

.
Kwa ujumla the man struggled!
Hivyo kuna utofauti na walio fungwa na hata adhabu atakayopewa kama akikutwa na kosa itakuwa tofauti.
Mh kwa hii sinario hawezi kurupuka hata ingekuwa ww