Picha hii ina walakini kiprotokali

Picha hii ina walakini kiprotokali

Kwamfano post kama hii akija kuisoma mtu wanje ya Tanzania au hata mtanzania anajielewa tunaonekana watu Wa ajabu sana..

Mtu mzima unaenda dukani kununua kifurushi kwa lengo la kupost upumbavu huu kweli?
Ifike mahali jukwaa hili liwe na kuelimisha, na kufurahisha sio kuleta upumbavu..

Hivi angekuwa babaako ndio anawekwa hivyo ungejiskiaje?
Kwanini mnkauwa wajinga kiasi hiki? Mnakimalia vitu hata ambavyo havisaidii kwalolote wala haviwezi kukuongizia kipato kwa siku?

Hivi mamaako na babaako ndio walivyokufundisha?

Wakat mwingne mtu yoyote hawezi kuthamini mchango Wa mawazo yako kwakuwa hayana maana..
Kwa ujinga kama huu hata uongee wazo lenye mantiki utazidi kupuuzwa tu kwakuwa tu umekuwa muumini Wa upumbavu..
Hili povu si la nchi hii,
 
Mkuu, huo ndo ukweli wenyewe, hio sio bahati mbaya, Bashite anashika na kutimiza majukumu ya huyo mmama mwenye njano. Ndo maana halisi ya kukaa upande wa kushoto. Huyo profesa asingekubali kukaa upande huo, hana hizo tabia.
You made it, moto.
 
Sasa wewe unasema haijazingitia hitifaki badala ya kuelezea kivipi wewe nawe unataka wataalam wewe ulijuaje protocol haipo
 
Kwa mawazo yangu naona mpangilio wa waheshimiwa katika picha hii haujakaa vizuri. Kwa wataalamu wa sayansi ya siasa,protokali na itifaki tunaomba mtusaidie mawazo.
7eca5afd63ede367860abd5f37399ef8.jpg
Naona kama ni picha ya familia
 
Mkuu, huo ndo ukweli wenyewe, hio sio bahati mbaya, Bashite anashika na kutimiza majukumu ya huyo mmama mwenye njano. Ndo maana halisi ya kukaa upande wa kushoto. Huyo profesa asingekubali kukaa upande huo, hana hizo tabia.
sijakupata please
 
Total Insult to the President. You deserve a serious warning.
Hivi hata kukaa kunahitaji protokali?? Kwanza walikuwa wapi?? mimi nadhani haikuandaliwa waliamua kukaa tu kwa kuchangamana, pengine baada ya maongezi muhimu kwisha.
 
Hayo ni matusi, hayafai kwa kweli, hata Kama mtu anapata support kutoka kwa boss wake kutokana na utendaji wake, Kama nyinyi mnaona hafai kwenye hiyo position ni kumshauri tu Rais Kama tunavyoendelea kufanya na Kama Rais mwenyewe kaamua kumuacha na kila kukicha anamsifia kwa utendaji wake, basi ni kuacha Kama ilivyo kwa kuwa yeye ndie mwenye mamlaka lakini si kuanza kumtukana mheshimiwa Rais kwa kiasi hiki, si vizuri HATA KIDOGO.
Akitaka asitukanwe na yeye aache kututukana
 
upload_2017-4-16_10-42-50.png


Hii hujaiona mkuu, Protokali inasemaje hapa?

Sasa hv tunaangalia vitu vidogo vidogo
 
Kwa mawazo yangu naona mpangilio wa waheshimiwa katika picha hii haujakaa vizuri. Kwa wataalamu wa sayansi ya siasa,protokali na itifaki tunaomba mtusaidie mawazo.
7eca5afd63ede367860abd5f37399ef8.jpg
ww hujasoma diplomasia picha iko sahihi ndo inabidi akae hivyo mkono wa kushoto wa rais;then anafuatia mke wa rais!
ficha utupu wako
 
Kama hivyo na wale waliofungwa kwa kufoji vyeti waachiwe
Haki itatendeka tu,mh anasubiri report,forgery ya Bashite ni very complicated sio ile ya cheti fake au ya kutumia jina la mtu na mwenye cheti akajitokeza hizi mbili ni offence direct,lakini Bashite,alifeli mara kadhaa,anarudia,anarudia,he never given up ,imebidi nicheke maana jamaa kama mbizi alipiga. Akasoma Chuo,akala nakozi watt wa kiswahili wanaita chini akarudi akagraduate kwa majina ambayo baadae alirekebisha mahakamani,sasa kwa sheria ipi utamhukumu maana hapo hata mahakimu au wanasheria nao lazima waumize kichwa .
Kwa ujumla the man struggled!
Hivyo kuna utofauti na walio fungwa na hata adhabu atakayopewa kama akikutwa na kosa itakuwa tofauti.
Mh kwa hii sinario hawezi kurupuka hata ingekuwa ww
 
Mtu ambaye hawezi kuwa na adabu kwa mkuu wake ni yule tu aliyezaliwa na kulelewa kwenye danguro...
Huyo hawezi hata kuwa na heshima kwa babaake wala mamaake kwani michezo anayofanyiwa mamaake anaiyona..

Huna adabu kabisa
Povu!!
 
Back
Top Bottom