Huyu mange katuteka akili ,haipiti siku bila kutmbelea ukurasa wake.hasara sanaKwa mawazo yangu naona mpangilio wa waheshimiwa katika picha hii haujakaa vizuri. Kwa wataalamu wa sayansi ya siasa,protokali na itifaki tunaomba mtusaidie mawazo.
![]()
Huyu mange katuteka akili ,haipiti siku bila kutmbelea ukurasa wake.hasara sanaKwa mawazo yangu naona mpangilio wa waheshimiwa katika picha hii haujakaa vizuri. Kwa wataalamu wa sayansi ya siasa,protokali na itifaki tunaomba mtusaidie mawazo.
![]()
Kwani huyo mama mwenye njano ni na wa mkulu?Mkuu, huo ndo ukweli wenyewe, hio sio bahati mbaya, Bashite anashika na kutimiza majukumu ya huyo mmama mwenye njano. Ndo maana halisi ya kukaa upande wa kushoto. Huyo profesa asingekubali kukaa upande huo, hana hizo tabia.
BashitseHuyo aliyezibwa sura ni nani kwani?
Kama hivyo na wale waliofungwa kwa kufoji vyeti waachiweIla watanzania hata kama ni chuki,inabidi tuheshimu cheo cha Mkuu wa nchi,hii too much kumkebehi hivi Rais,kumsingizia Sodomalism,hivi kweli mtu ukikamatwa utakuwa na ushahidi gani? Kuna mambo tuweke uzalendo mbele.
Kama ni hoja tuje na plan B kutoa mawazo tuijengeje nchi.
Kweli Makonda wanasema ana upungufu ktk elimu yake hamna anae Kataa maana hata elimu ya Kawawa na Karume walishika nafasi zaa juu na tunawaenzi.
Uongozi bado ni kipaji na kila mtu anamapungufu.
Tuweke maslahi muhimu ya nchi yetu ilishafikia pabaya,tuvute subira miaka 5 si mingi.
Siungi kila kitu mkono maana kwenye demokrasia kilà mtu ana mawazo mbadala au yake,majorite wins.
Mkuu kwanza pole sana kwa maana povu limekutoka ila naomba nkuulize hivi wewe unaifahamu vizuri ITIFAKI?ukijibu ndo na mimi ntakuja na nenoHayo ni matusi, hayafai kwa kweli, hata Kama mtu anapata support kutoka kwa boss wake kutokana na utendaji wake, Kama nyinyi mnaona hafai kwenye hiyo position ni kumshauri tu Rais Kama tunavyoendelea kufanya na Kama Rais mwenyewe kaamua kumuacha na kila kukicha anamsifia kwa utendaji wake, basi ni kuacha Kama ilivyo kwa kuwa yeye ndie mwenye mamlaka lakini si kuanza kumtukana mheshimiwa Rais kwa kiasi hiki, si vizuri HATA KIDOGO.
"serious warning " does it have anything to do with" utekaji"?Total Insult to the President. You deserve a serious warning.
hiyo itifaki inasemaje? hakuna itifaki yoyote iliyovunjwa hapo ni bange zenu tuMkuu kwanza pole sana kwa maana povu limekutoka ila naomba nkuulize hivi wewe unaifahamu vizuri ITIFAKI?ukijibu ndo na mimi ntakuja na neno
Kwamfano post kama hii akija kuisoma mtu wanje ya Tanzania au hata mtanzania anajielewa tunaonekana watu Wa ajabu sana..Kwa mawazo yangu naona mpangilio wa waheshimiwa katika picha hii haujakaa vizuri. Kwa wataalamu wa sayansi ya siasa,protokali na itifaki tunaomba mtusaidie mawazo.
![]()
Mkuu hayo makengeza yako ni ya kiwango cha lami.Kwenye picha aliyoweka muanzisha uzi, Rais Magufuli anafuatiwa na Mkuu wa mkoa, halafu mama Janeth.
Ukiangalia post #26, Kikwete anafuatia mkuu wa mkoa wa Morogoro na Salma Kikwete.
Haya huyu Joel Bendera nae ni First Lady wa Kikwete?
Hakika kuna watu akili zao sijui zikoje.. Watu wazima wamekalia majungumajungu tu ...Hayo ni matusi, hayafai kwa kweli, hata Kama mtu anapata support kutoka kwa boss wake kutokana na utendaji wake, Kama nyinyi mnaona hafai kwenye hiyo position ni kumshauri tu Rais Kama tunavyoendelea kufanya na Kama Rais mwenyewe kaamua kumuacha na kila kukicha anamsifia kwa utendaji wake, basi ni kuacha Kama ilivyo kwa kuwa yeye ndie mwenye mamlaka lakini si kuanza kumtukana mheshimiwa Rais kwa kiasi hiki, si vizuri HATA KIDOGO.
Ila watanzania hata kama ni chuki,inabidi tuheshimu cheo cha Mkuu wa nchi,hii too much kumkebehi hivi Rais,kumsingizia Sodomalism,hivi kweli mtu ukikamatwa utakuwa na ushahidi gani? Kuna mambo tuweke uzalendo mbele.
Kama ni hoja tuje na plan B kutoa mawazo tuijengeje nchi.
Kweli Makonda wanasema ana upungufu ktk elimu yake hamna anae Kataa maana hata elimu ya Kawawa na Karume walishika nafasi zaa juu na tunawaenzi.
Uongozi bado ni kipaji na kila mtu anamapungufu.
Tuweke maslahi muhimu ya nchi yetu ilishafikia pabaya,tuvute subira miaka 5 si mingi.
Siungi kila kitu mkono maana kwenye demokrasia kilà mtu ana mawazo mbadala au yake,majorite wins.
Mtu ambaye hawezi kuwa na adabu kwa mkuu wake ni yule tu aliyezaliwa na kulelewa kwenye danguro...Mkuu, huo ndo ukweli wenyewe, hio sio bahati mbaya, Bashite anashika na kutimiza majukumu ya huyo mmama mwenye njano. Ndo maana halisi ya kukaa upande wa kushoto. Huyo profesa asingekubali kukaa upande huo, hana hizo tabia.