Picha hii ina walakini kiprotokali

Picha hii ina walakini kiprotokali

Kwa mawazo yangu naona mpangilio wa waheshimiwa katika picha hii haujakaa vizuri. Kwa wataalamu wa sayansi ya siasa,protokali na itifaki tunaomba mtusaidie mawazo.
7eca5afd63ede367860abd5f37399ef8.jpg
Huyu mange katuteka akili ,haipiti siku bila kutmbelea ukurasa wake.hasara sana
 
Mkuu, huo ndo ukweli wenyewe, hio sio bahati mbaya, Bashite anashika na kutimiza majukumu ya huyo mmama mwenye njano. Ndo maana halisi ya kukaa upande wa kushoto. Huyo profesa asingekubali kukaa upande huo, hana hizo tabia.
Kwani huyo mama mwenye njano ni na wa mkulu?
 
Ila watanzania hata kama ni chuki,inabidi tuheshimu cheo cha Mkuu wa nchi,hii too much kumkebehi hivi Rais,kumsingizia Sodomalism,hivi kweli mtu ukikamatwa utakuwa na ushahidi gani? Kuna mambo tuweke uzalendo mbele.
Kama ni hoja tuje na plan B kutoa mawazo tuijengeje nchi.
Kweli Makonda wanasema ana upungufu ktk elimu yake hamna anae Kataa maana hata elimu ya Kawawa na Karume walishika nafasi zaa juu na tunawaenzi.
Uongozi bado ni kipaji na kila mtu anamapungufu.
Tuweke maslahi muhimu ya nchi yetu ilishafikia pabaya,tuvute subira miaka 5 si mingi.
Siungi kila kitu mkono maana kwenye demokrasia kilà mtu ana mawazo mbadala au yake,majorite wins.
Kama hivyo na wale waliofungwa kwa kufoji vyeti waachiwe
 
cbe4a478c4348bbdf22233cb2bd41d4e.jpg



Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Mama Salma Kikwete, Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Changamoto za Milenia Tanzania (MCA-Tanzania) Bw. Karl Fickenscher na viongozi wengine katika picha ya pamoja ya kumbukumbu na watendaji wa MCA-Tanzani
 
Hayo ni matusi, hayafai kwa kweli, hata Kama mtu anapata support kutoka kwa boss wake kutokana na utendaji wake, Kama nyinyi mnaona hafai kwenye hiyo position ni kumshauri tu Rais Kama tunavyoendelea kufanya na Kama Rais mwenyewe kaamua kumuacha na kila kukicha anamsifia kwa utendaji wake, basi ni kuacha Kama ilivyo kwa kuwa yeye ndie mwenye mamlaka lakini si kuanza kumtukana mheshimiwa Rais kwa kiasi hiki, si vizuri HATA KIDOGO.
Mkuu kwanza pole sana kwa maana povu limekutoka ila naomba nkuulize hivi wewe unaifahamu vizuri ITIFAKI?ukijibu ndo na mimi ntakuja na neno
 
Bashite ndo first lady mama janet ni second na yeye amekubali kukaa hapo kwel huyu bashite ni zero
 
Kwenye picha aliyoweka muanzisha uzi, Rais Magufuli anafuatiwa na Mkuu wa mkoa, halafu mama Janeth.
Ukiangalia post #26, Kikwete anafuatia mkuu wa mkoa wa Morogoro na Salma Kikwete.
Haya huyu Joel Bendera nae ni First Lady wa Kikwete?
 
Watanzania tungekuwa na uwezo kama wa Rwanda kwenye uchumi na kielimu nahisi wengi tungekuwa maprofesa vichaa wa kufuatilia ujinga
 
Kwa mawazo yangu naona mpangilio wa waheshimiwa katika picha hii haujakaa vizuri. Kwa wataalamu wa sayansi ya siasa,protokali na itifaki tunaomba mtusaidie mawazo.
7eca5afd63ede367860abd5f37399ef8.jpg
Kwamfano post kama hii akija kuisoma mtu wanje ya Tanzania au hata mtanzania anajielewa tunaonekana watu Wa ajabu sana..

Mtu mzima unaenda dukani kununua kifurushi kwa lengo la kupost upumbavu huu kweli?
Ifike mahali jukwaa hili liwe na kuelimisha, na kufurahisha sio kuleta upumbavu..

Hivi angekuwa babaako ndio anawekwa hivyo ungejiskiaje?
Kwanini mnkauwa wajinga kiasi hiki? Mnakimalia vitu hata ambavyo havisaidii kwalolote wala haviwezi kukuongizia kipato kwa siku?

Hivi mamaako na babaako ndio walivyokufundisha?

Wakat mwingne mtu yoyote hawezi kuthamini mchango Wa mawazo yako kwakuwa hayana maana..
Kwa ujinga kama huu hata uongee wazo lenye mantiki utazidi kupuuzwa tu kwakuwa tu umekuwa muumini Wa upumbavu..
 
Kwenye picha aliyoweka muanzisha uzi, Rais Magufuli anafuatiwa na Mkuu wa mkoa, halafu mama Janeth.
Ukiangalia post #26, Kikwete anafuatia mkuu wa mkoa wa Morogoro na Salma Kikwete.
Haya huyu Joel Bendera nae ni First Lady wa Kikwete?
Mkuu hayo makengeza yako ni ya kiwango cha lami.
 
Hayo ni matusi, hayafai kwa kweli, hata Kama mtu anapata support kutoka kwa boss wake kutokana na utendaji wake, Kama nyinyi mnaona hafai kwenye hiyo position ni kumshauri tu Rais Kama tunavyoendelea kufanya na Kama Rais mwenyewe kaamua kumuacha na kila kukicha anamsifia kwa utendaji wake, basi ni kuacha Kama ilivyo kwa kuwa yeye ndie mwenye mamlaka lakini si kuanza kumtukana mheshimiwa Rais kwa kiasi hiki, si vizuri HATA KIDOGO.
Hakika kuna watu akili zao sijui zikoje.. Watu wazima wamekalia majungumajungu tu ...
Ila watanzania hata kama ni chuki,inabidi tuheshimu cheo cha Mkuu wa nchi,hii too much kumkebehi hivi Rais,kumsingizia Sodomalism,hivi kweli mtu ukikamatwa utakuwa na ushahidi gani? Kuna mambo tuweke uzalendo mbele.
Kama ni hoja tuje na plan B kutoa mawazo tuijengeje nchi.
Kweli Makonda wanasema ana upungufu ktk elimu yake hamna anae Kataa maana hata elimu ya Kawawa na Karume walishika nafasi zaa juu na tunawaenzi.
Uongozi bado ni kipaji na kila mtu anamapungufu.
Tuweke maslahi muhimu ya nchi yetu ilishafikia pabaya,tuvute subira miaka 5 si mingi.
Siungi kila kitu mkono maana kwenye demokrasia kilà mtu ana mawazo mbadala au yake,majorite wins.
 
Mkuu, huo ndo ukweli wenyewe, hio sio bahati mbaya, Bashite anashika na kutimiza majukumu ya huyo mmama mwenye njano. Ndo maana halisi ya kukaa upande wa kushoto. Huyo profesa asingekubali kukaa upande huo, hana hizo tabia.
Mtu ambaye hawezi kuwa na adabu kwa mkuu wake ni yule tu aliyezaliwa na kulelewa kwenye danguro...
Huyo hawezi hata kuwa na heshima kwa babaake wala mamaake kwani michezo anayofanyiwa mamaake anaiyona..

Huna adabu kabisa
 
Back
Top Bottom