PICHA: Hali ya baridi mkoa wa Arusha inatisha

PICHA: Hali ya baridi mkoa wa Arusha inatisha

Huko shule ndiko mkafundishwa kupika na mengineyo, huyo anaekufundisha kupika shule mwenyewe ndoa imemshinda.
Haahaa kama hana ndoa kuna shida gani akifundisha wanetu masomo yake kiufasaha? Halafu mbona uzaramuni ndoa zinavunjika pia kama kigezo cha ndoa ni mchuzi mzito? Ndoa ya mwalimu haimuhusu mwanafunzi.
 
Sasa mihogo na chips chakula chenye afya ni kipi? Si ndio maana mkija mjini twafanza kula mihogo na pilipili mpate nguvu kidogo.
Haaha vyote ni wanga tu, chips hata mihogo inatoa pia.
 
Tanzania hamna sehemu yenye baridi kali kuzidi Makete na Njombe
Njombe mjini nilikuwa huko wiki iliyopita , nikaenda hadi tukuyu kisha sumbawanga ..njombe baridi yke ni ya kawaida tu ...makete sijawahi fika ...makambako kuna baridi Kali kuliko njombe ...usifikiri nimeandika kwa kubahatisha
 
baridi ipo mafinga nyororo makambako na pale kawetere mm nimezaliwa arusha ila huko mnasema baridi njoon uku mgande
 
Haahaa kama hana ndoa kuna shida gani akifundisha wanetu masomo yake kiufasaha? Halafu mbona uzaramuni ndoa zinavunjika pia kama kigezo cha ndoa ni mchuzi mzito? Ndoa ya mwalimu haimuhusu mwanafunzi.
Hata zikivunjika huku kwetu twaingia chuo cha pili, cha tatu hata cha nne, haya nyie wanawake zenu inabidi walete wanaume kutoka Kenya kwakua mwashindia viroba mbona kazi. Bwana tunaharibu uzi wa watu.
 
naipenda sana hii hali ya hewa, napenda sana baridi, kwa sisi tunajua kuvaa tunavaa nguo unayojskia unapendeza haswaaaa, maana baridi inachangia mtu kuvaa vizuri
Yaani unausitiri mwili barabara.
 
Mbona ya kawaida hiyo tembeleeni maeneo kama Rungwe na Makete asee! Barafu kabisa
 
Mwaka huu baridi ni kali mnooo..
 
Back
Top Bottom