Picha: Fabrice Ngoma Simba Sc akikaba kikundi

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,217
103,803
Ins52160607660_7174d803b92f4e49a94bde128ff2e594_363938447_576500904449028_195024788640815495_n.jpg
Ins52160607660_65fa8fcab42d46e38082f99727e6ba71_363336073_1531321897611767_8228023159888267516_n.jpg
Ins52160607660_5d01698b18dc4917b34ad1f4575cfd70_363361478_289638000402436_3917440858958069560_n.jpg
Ins52160607660_aaab20c472b84ad896f3fb1380a8dbe4_363817835_983502856126334_6074213481074677115_n.jpg


Taarifa za huyu mtu huko Uturuki zinadhihirisha Yanga walikuwa sahihi kulia kuibiwa mchezaji.
 
View attachment 2701682View attachment 2701683View attachment 2701684View attachment 2701685

Taarifa za huyu mtu huko Uturuki zinadhihirisha Yanga walikuwa sahihi kulia kuibiwa mchezaji.
Nimebaini mambo 3 muhimu kwenye hii picha.

1.Fabrice Ngoma ni mtu na nusu, yaani amemkaba hadi Xavi (Xeyal 10)?

2.Uzi wa Simba ni mkali kweli kweli tofauti na maneno ya 'wanaa' kutoka Matopeni FC. Haumkatai mchezaji au shabiki.

3.Timu nyingi za Waarabu (Vilabu na Taifa) huwa zinavaa jezi nyekundu. Ni chache zinavaa mlenda kama wa Uto (kijani na njano). Bila shaka walishabaini rangi nyekundu ni rangi ya mafanikio.
 
Nimebaini mambo 3 muhimu kwenye hii picha.

1.Fabrice Ngoma ni mtu na nusu, yaani amemkaba hadi Xavi (Xeyal 10)?

2.Uzi wa Simba ni mkali kweli kweli tofauti na maneno ya 'wanaa' kutoka Matopeni FC. Haumkatai mchezaji au shabiki.

3.Timu nyingi za Waarabu (Vilabu na Taifa) huwa zinavaa jezi nyekundu. Ni chache zinavaa mlenda kama wa Uto (kijani na njano). Bila shaka walishabaini rangi nyekundu ni rangi ya mafanikio.
Jezi za Brazil ni rangi gani?
 
Nimebaini mambo 3 muhimu kwenye hii picha.

1.Fabrice Ngoma ni mtu na nusu, yaani amemkaba hadi Xavi (Xeyal 10)?

2.Uzi wa Simba ni mkali kweli kweli tofauti na maneno ya 'wanaa' kutoka Matopeni FC. Haumkatai mchezaji au shabiki.

3.Timu nyingi za Waarabu (Vilabu na Taifa) huwa zinavaa jezi nyekundu. Ni chache zinavaa mlenda kama wa Uto (kijani na njano). Bila shaka walishabaini rangi nyekundu ni rangi ya mafanikio.
Mkuu kuhusu jezi acha kusimuliwa. Uzi upo vizuri. Mimi nilienda kununua moja, nilipokuta uzi mkali nikachukua tatu zote. Hata Uto huku kijijini wanaukubali uzi
 
Back
Top Bottom