OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,217
- 103,803
Taarifa za huyu mtu huko Uturuki zinadhihirisha Yanga walikuwa sahihi kulia kuibiwa mchezaji.
Mayele kaondoka kumkwepa huyo wa hapo pichaniUna bahati mayele kaondoka vinginevyo tutaufufua uzi
Hivi ni kwanini jezi namba 9 haivaliwi na yeyote miaka yote??Nimefurahi sana NGOMA kupewa JEZI No 6.
Miquesson apewe 11.
Baleke apewe 10.
Che Malone 4 au 20.
Nimebaini mambo 3 muhimu kwenye hii picha.View attachment 2701682View attachment 2701683View attachment 2701684View attachment 2701685
Taarifa za huyu mtu huko Uturuki zinadhihirisha Yanga walikuwa sahihi kulia kuibiwa mchezaji.
Jezi za Brazil ni rangi gani?Nimebaini mambo 3 muhimu kwenye hii picha.
1.Fabrice Ngoma ni mtu na nusu, yaani amemkaba hadi Xavi (Xeyal 10)?
2.Uzi wa Simba ni mkali kweli kweli tofauti na maneno ya 'wanaa' kutoka Matopeni FC. Haumkatai mchezaji au shabiki.
3.Timu nyingi za Waarabu (Vilabu na Taifa) huwa zinavaa jezi nyekundu. Ni chache zinavaa mlenda kama wa Uto (kijani na njano). Bila shaka walishabaini rangi nyekundu ni rangi ya mafanikio.
Kajificha kwa team za "kiarabu" huku akisahau bingwa wa Kila kombe afrika ni Senegal na kule Asia kwa waarabu ni Japan ndio mtawala wa mda wote na hawana redJezi za Brazil ni rangi gani?
Sasa Mayele naye ni striker wa kutisha? Hata goli 17 alishinda kufikisha, anashindana na Mpole na Saido? Tumuitaje Kagere sasa?Una bahati Mayele kaondoka vinginevyo tutaufufua uzi
Mkuu kuhusu jezi acha kusimuliwa. Uzi upo vizuri. Mimi nilienda kununua moja, nilipokuta uzi mkali nikachukua tatu zote. Hata Uto huku kijijini wanaukubali uziNimebaini mambo 3 muhimu kwenye hii picha.
1.Fabrice Ngoma ni mtu na nusu, yaani amemkaba hadi Xavi (Xeyal 10)?
2.Uzi wa Simba ni mkali kweli kweli tofauti na maneno ya 'wanaa' kutoka Matopeni FC. Haumkatai mchezaji au shabiki.
3.Timu nyingi za Waarabu (Vilabu na Taifa) huwa zinavaa jezi nyekundu. Ni chache zinavaa mlenda kama wa Uto (kijani na njano). Bila shaka walishabaini rangi nyekundu ni rangi ya mafanikio.
Huyo Kagera wako zaidi ya robo ya magoli yake ni ya penalti.Sasa Mayele naye ni striker wa kutisha? Hata goli 17 alishinda kufikisha, anashindana na Mpole na Saido? Tumuitaje Kagere sasa?
Ww ni chok "ooh"Mm ni YANGA ila ngoma simba mmetuibia mchezaji wetu