GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,638
- 109,003
GENTAMYCINE naipenda sana Simba SC yangu na napenda sana Kuwacharura Yanga SC hapa JamiiForums kama sehemu yetu ya Utani wa Jadi ila hakuna Kitu nachukia kama Uwongo na Propaganda za Kitoto.
Taarifa ya Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally kuwa Kiungo Fabrice Ngoma hakuwepo Kikosini kwakuwa alipatwa na matatizo ya Kifamilia na kwenda Kwao Congo DR GENTAMYCINE naikataa kwa 100%
Ukweli ni kwamba Mchezaji Fabrice Ngoma alikuwa AMEGOMA kwakuwa hakumaliziwa sehemu ya Pesa yake kama ambavyo aliahidiwa na hiyo sijui alikuwa Kwao Kifamilia ni Uwongo ambao Unanikera sana.
Kama alienda Kwao ilikuwaje tokea Timu iko Mikoani anaonekana Mikocheni, Mbezi Beach na Mlimani City akiwa na Goma lake la Kinondoni ambalo hulikosi katika Live Band zote za Twanga Pepeta ambalo pia linatoka na Mchezaji mwingine Mzawa wa Yanga SC?
Mtawadanganya na Kuwaficha Watu wote hapa Tanzania ila siyo Mimi GENTAMYCINE wa hapa JamiiForums sawa?
Na namalizia kwa kuwaambia kuwa Mechi yetu ya Leo huko Tabora ni ngumu mno na ikitokea tukashinda basi tutashukuru sana na hata Mimi nitafurahi sana tu ila tukitoka Sare / Suluhu au Kufungwa wala sitoshangaa kwani hata Kinyota ( Kinujumu ) Siku ya Jumanne na tarehe 6 huwa si nzuri kwa Simba SC.
Msirudie tena KUTUDANGANYA sawa?
Taarifa ya Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally kuwa Kiungo Fabrice Ngoma hakuwepo Kikosini kwakuwa alipatwa na matatizo ya Kifamilia na kwenda Kwao Congo DR GENTAMYCINE naikataa kwa 100%
Ukweli ni kwamba Mchezaji Fabrice Ngoma alikuwa AMEGOMA kwakuwa hakumaliziwa sehemu ya Pesa yake kama ambavyo aliahidiwa na hiyo sijui alikuwa Kwao Kifamilia ni Uwongo ambao Unanikera sana.
Kama alienda Kwao ilikuwaje tokea Timu iko Mikoani anaonekana Mikocheni, Mbezi Beach na Mlimani City akiwa na Goma lake la Kinondoni ambalo hulikosi katika Live Band zote za Twanga Pepeta ambalo pia linatoka na Mchezaji mwingine Mzawa wa Yanga SC?
Mtawadanganya na Kuwaficha Watu wote hapa Tanzania ila siyo Mimi GENTAMYCINE wa hapa JamiiForums sawa?
Na namalizia kwa kuwaambia kuwa Mechi yetu ya Leo huko Tabora ni ngumu mno na ikitokea tukashinda basi tutashukuru sana na hata Mimi nitafurahi sana tu ila tukitoka Sare / Suluhu au Kufungwa wala sitoshangaa kwani hata Kinyota ( Kinujumu ) Siku ya Jumanne na tarehe 6 huwa si nzuri kwa Simba SC.
Msirudie tena KUTUDANGANYA sawa?