GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,638
- 108,994
1. Ayub Lakred
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein Tshabalala
4. Che Malone Fondo
5. Henock Inonga
6. Babacar Mtu Chuma
7. Kibu Denis Kiboko ya Djigui Diarra
8. Fabrice GENTAMYCINE Ngoma
9. Saido Ntibanzokinza
10. Clatous Chama
11. Luis Jose Miquissone
Haya nawe Shuka na Chako hapa kwani Rafiki yangu Kocha Msaidizi wa Simba SC Selemami Matola siku hizi tuko nae hapa JamiiForums na ananisoma mno GENTAMYCINE kama ambavyo hata Rais Samia, Rais Mstaafu Kikwete, Balozi Mstaafu Dkt. Slaa na Mjumbe Maalum wa Tajiri Mo Dewji ndani ya Simba SC Poti wangu Crencetius Magori wanavyonisoma Kutwa hapa ili amwambie Kocha atupangie Kikosi cha Mauwaji Ijumaa.
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein Tshabalala
4. Che Malone Fondo
5. Henock Inonga
6. Babacar Mtu Chuma
7. Kibu Denis Kiboko ya Djigui Diarra
8. Fabrice GENTAMYCINE Ngoma
9. Saido Ntibanzokinza
10. Clatous Chama
11. Luis Jose Miquissone
Haya nawe Shuka na Chako hapa kwani Rafiki yangu Kocha Msaidizi wa Simba SC Selemami Matola siku hizi tuko nae hapa JamiiForums na ananisoma mno GENTAMYCINE kama ambavyo hata Rais Samia, Rais Mstaafu Kikwete, Balozi Mstaafu Dkt. Slaa na Mjumbe Maalum wa Tajiri Mo Dewji ndani ya Simba SC Poti wangu Crencetius Magori wanavyonisoma Kutwa hapa ili amwambie Kocha atupangie Kikosi cha Mauwaji Ijumaa.