Picha: DJ choka umri umeenda unajua

Picha: DJ choka umri umeenda unajua

warumi

- Only in Tanzania mtu anaweza kupoteza muda wake kumfuatilia Mwanaume asiyemjua wala kumhusu, huku akiacha matatizo ya maisha yake mkuuu DJ Choka ameshatoka yupo mbele yako wewe ndio vile utaishia kuchunguza maisha ya wanaume wengine jali maisha yako wacha wale bata zao ningekuelewa ungelalalmika hapa kwamba unamlipia maisha yake, just shut the F up endelea na yako ya wengine hayakuhusu,

- DJ Choka kula bataz U know wachana na hawa mburulazzz U know, kula batazzzz mpaka kuku wapige kelele kama mimi kazi na bataz kwa mbelezzz u know!!

- DJ CHOKA FOR PRESIDENCY

Le Mutuz
 
Last edited by a moderator:
W. J. Malecela

Inawezekana hata warumi ameshatoka. Kwani mafanikio ni kuwa maarufu kwny maswala ya entertainment? Kuna watu wanasaini tu ofisini na wanaingiza millions kila month. Ukifika umri fulani hata km still upo kwenye sekta ya entertainment, itabidi ufanye adjustments.
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana hata warumi ameshatoka. Kwani mafanikio ni kuwa maarufu kwny maswala ya entertainment? Kuna watu wanasaini tu ofisini na wanaingiza millions kila month. Ukifika umri fulani hata km still upo kwenye sekta ya entertainment, itabidi ufanye adjustments.

- Sasa unaona kelele zoye unongelea inawezekana mtu aliyetoka hana muda wa kufuatilia Wanaume wengine wasiomhusu na misha yao ina maana moja tu hajatoka na hana maisha, DJ Choka kila bata bwana wachana na wapiga kelele wasiokulipia maisha yako wewe ndio kiranja wa adjustments Duniani nani kakupa hiyo kazi mburulazzz umbeya umbeya tu jamani mjini hapa yaani wee mwanaume unakuwa mmbeya na mzushi mzushi hivi mjini hapa wewe!!

- DJ CHOKA CHUKUA FOMU YA URAIS BANA!!

Le Mutuz
 
W. J. Malecela

Sawa mheshimiwa malecela. Mwanzoni nilifikiri kuwa na wewe ni mbea coz ofcourse wewe ni mtu mzima af unafuatilia mambo ya watu online. Kumbe i was wrong. Wewe for some reasons unafuatilia mambo ya watu lakini siyo mbea. Sorry, but i was wondering what are you doing here.
 
Last edited by a moderator:
Lile punguani lile nani asiye Jua. Ukubwa wa umri, bichwa na kimo. Lakini kichwani kumejaa kamasi.
 
Manchris Jbisd

- Binafsi sijawahi kufuatilia maisha ya mtu kama ni blogu nimeajiri wafanyakazi wanaotafuta habari from different sources za online lakini blogu yangu haijawahi kuwa the Original source ya maisha ya watu na hata ikiwa ndio kazi ya blogu, lakini wewe sasa ni mtumzima unaacha maisha yako na kuanza kufuatilia DJ Choka kalala na nani kaenda na nani na wapi ina maana moja tu no life, so get life U know wachana na maisha ya watu!!

- DJ Choka anafaa kugombea Urais U know

Le Mutuz
 
Last edited by a moderator:
W. J. Malecela

Mkuu ukitaka kujua kuwa uraisi ni mgumu nchi hii,muulize mzee wako Malecela.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ukitaka kujua kuwa uraisi ni mgumu nchi hii,muulize mzee wako Malecela.

-Na mzee wako tumuulize nini kaka maana unatakiwa kuanza na mzee wako au huna au hana elimu ndio maana hajulikani? Maana wazee wote wa zamani wanaojulikana huwa wana elimu sana U know au? hahahahahah

Le Big Show
 
-Na mzee wako tumuulize nini kaka maana unatakiwa kuanza na mzee wako au huna au hana elimu ndio maana hajulikani? Maana wazee wote wa zamani wanaojulikana huwa wana elimu sana U know au? hahahahahah

Le Big Show

Sina nia mbaya ila mzee wetu Malecela alisema "mimi ni tingatinga linalotengeneza barabara harafu linakatazwa lisipite" mzee wako ni kichwa nakubali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom