warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,213
- 18,466
Duh!! Kweli dunia ina mambo, eti Dj choka nae anajiita BATA BOYS, wewe si mtu mzima lakini? Tena una mke na watoto, cha kushangaza kutwa kuzurula na watoto wadogo eti na yeye anakula ujana mmh!! , sasa apo wewe na akina ben pol na rommy jones umri wenu unaendana? Wewe si baba lakini?, hayo mambo waachie akina rommy bhana we umri umeenda.
Halafu unatia aibu jitu zima kutwa ku post picha za ajabu ajabu instagram eti unakula ujana, yani kwenye account yako sijawahi kuona una post vitu vya maana zaidi ya upumbavu ambao watu wenye umri kama wako hawatakiwi kuvifanya, we mtu mzima unajua? Ebu kuwa mfano kwa vijana bhana unatia sana aibu.
Au na wewe ndo unataka kujifanya kama akina DJ KHALEED? Basi umekwama mzee jipange upya. Yani kabisa eti unapiga picha unaogelea , mara unapiga picha vyakula sijui yani vitu vya kitoto toto wakati mtu umri umeenda kabisa na familia juu.
Au ndo masharti ya U DJ? Inawezekana hatujui wengine kumbe mwenzetu unafuata masharti ya kazi, ila hata kama ila dah we too much mzee, kuna ma DJ wengi tu nawafahamu ila wewe too much, utoto mwingi sana ebu badilika, ulinikera sana juzi kati ku post picha ya uchi na mtoto wa kike yani mat@ko yote nje, acha kujitoa ufahamu bhana we mkubwa ujue?
Halafu unatia aibu jitu zima kutwa ku post picha za ajabu ajabu instagram eti unakula ujana, yani kwenye account yako sijawahi kuona una post vitu vya maana zaidi ya upumbavu ambao watu wenye umri kama wako hawatakiwi kuvifanya, we mtu mzima unajua? Ebu kuwa mfano kwa vijana bhana unatia sana aibu.
Au na wewe ndo unataka kujifanya kama akina DJ KHALEED? Basi umekwama mzee jipange upya. Yani kabisa eti unapiga picha unaogelea , mara unapiga picha vyakula sijui yani vitu vya kitoto toto wakati mtu umri umeenda kabisa na familia juu.
Au ndo masharti ya U DJ? Inawezekana hatujui wengine kumbe mwenzetu unafuata masharti ya kazi, ila hata kama ila dah we too much mzee, kuna ma DJ wengi tu nawafahamu ila wewe too much, utoto mwingi sana ebu badilika, ulinikera sana juzi kati ku post picha ya uchi na mtoto wa kike yani mat@ko yote nje, acha kujitoa ufahamu bhana we mkubwa ujue?