Ulie leta trend hii nahisi unamatatizo mengi sn kwani raha na umri vinahusiana vipi???mshikaji upo vizuri pia hakuna panapokataza eti kwakuwa unafamilia ndo uache kula raha.Raha zinasababishwa na kipato mtu apatacho huoni ulaya wazee wa miaka tisini wala kula raha???au hujafikiria bi kwasababu gani??sababu ni pesa.