Picha: Bodaboda na Simba uso kwa uso

Picha: Bodaboda na Simba uso kwa uso

Yule jamaa wa kupita na boda boda mikumi alikua anaelekea pande hizo hizo atakua ndio yeye kakomaa kapita mikumi kaja kukamatiwa padoooogo ha ha ha ha.
 
Itakuwa mkojo kama si uharo ulimtoka hapo!
 
Navuta picha hapo simba angemfuata nahisi akili ya haraka ingemtuma atupe bodaboda yake akimbie!

Btw, jamaa wengi wa bodaboda ni kama policcm tu, "reasoning F"!
 
Akiri za waendesha bodaboda bwana....weee umekuta wenzako wawili watatu wamesimama, hata kujiuliza kulikoni hakuna...

Mvuke wa petrol unalevya ingawaje nchi nzima hawa watu akili zao sio nzuri wewe unaona wenzako wamesimama kwani usiulize kuna nini?
 
Duh!... Bahati yake maana angeweza kula mwereka akawa ndafu ya mfalme.....inabidi akirudi akasali na kutoa sadaka Wiyau
 
Last edited by a moderator:
Navuta picha hapo simba angemfuata nahisi akili ya haraka ingemtuma atupe bodaboda yake akimbie!

Btw, jamaa wengi wa bodaboda ni kama policcm tu, "reasoning F"!

Na kwa kitete angeliwa maana angeshindwa kuiwasha boda boda na angekimbilia porini akifikiri ana jiokoa!
 
Ashukuru huyo simba pengine ni mzee au ni mgonjwa, angepata cha mtema kuni.

hao simba wazee na wagonjwa ndiyo haswa wa kuogopa, hao ndiyo wala watu. simba kwa kawaida hawezi kula mtu mpaka imbidi sana, au ahisi unamtia hatarini au unahatarisha maisha ya wapendwa wake ndiyo anakurarua, ndiyo maana huyo kidume unamwona kajilaza zake barabarani hapo kashiba nyama ya nyati au nyumbu, kwake nyama ya binadamu ni nyama ya kiwango cha chini kabisa isiyo na thamani. simba wabaya ni hao wazee na wagonjwa, hasa wanaojitenga unakuta yuko mwenyewemwenyewe tu hana nguvu ya kuwinda yuko mbali na makundi yanayowinda ametengwatengwa akikutana na binadamu lazima amfanye kisusio maana huyo ndiyo mnyama rahisi zaidi kukamata akiwa hana zana.
 
Huyu sio yule jamaa aliyetaka kusafiri na bodaboda kupitia mikumi

swissme

Dah umenikumbusha mkuu hivi yule jamaa alifanikiwa kumpelekea mzee wake ile bodaboda?? Hajaleta "mrejesho" hapa. Na mwnyw alinchekeshaga sana.
 
Umenichekesha sana ndg yangu, yani kama ni mimi ningezimia hapo hapo, hope nimgeamka nikiwa kwa mola wangu nikinywa maziwa na asali,
 
Na hivi umembebea na kitoweo, angewatafuna wote (hadi mifupa) huko kwenye maziwa na asali ungekusikia tu!

Umenichekesha sana ndg yangu, yani kama ni mimi ningezimia hapo hapo, hope nimgeamka nikiwa kwa mola wangu nikinywa maziwa na asali,
 
Du.. Huyo jamaa lazima usiku ataota ndoto ya simba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom