Picha: Bodaboda na Simba uso kwa uso

Picha: Bodaboda na Simba uso kwa uso


Aliinuka akapiga hiyo picha kwa uzuri. Whatever the case, ni picha ambayo imetufurahisha wachangiaji, na wachangiaji wamechangia na kutoa changamoto,angalau tumeongeza dakika kadhaa za maisha.

Nawashukuru kwa michango mizuri. Hiyo ni picha halisi ya tukio.
 
Hapa ningekuwa mimi ningezimia aisee maana muoga kinyama, mnyama mwenyewe simba!! Nilishawahi kukutana na kitimoto pori asubuhi asubuhi saa 12 wakati nakusanya kuni za kupika chai,

siku hiyo nakumbuka miguu iliishiwa nguvu nikaanguka chini bahati nzuri nilikuwa na ba'mdogo wangu akapiga ukunga ndio noah akasepa.
kama wewe ni ME basi shemeji annue bunduki na mabomu aweke ndani.
 
.........Mkuu, maeneo gani hayo ulipokutana na Kitimoto pori asubuhi asubuhi na mimi niende kuokota kuni? Daah, nimechoka kula nyama ya kitimoto wa kufugwa lol!!.

We huwezi maeneo hayo inaonesha umezoea lami tu, wengine tulizoea kupishana na swala.
 
mbusage naona mkuu umefanya kweli... ila vipi hii safari uliimaliza salama au ndio iliishia hapo??
 
Last edited by a moderator:
mbusage naona mkuu umefanya kweli... ila vipi hii safari uliimaliza salama au ndio iliishia hapo??

hahahaha kitambo xanaa nilienda na nishalud but it was great journey maanaaa mhhh 😀😁😁 maana hiyo speed kama ningeangukaa hata simba asingenilaaa😉😉😉
 
Last edited by a moderator:
Hizi pikipiki za kichina huwa zinazimaga ghafla..! halafu ukipiga kick zinagoma for no apparent reason..! bahati yake halikutokea hilo.., angevunja kioo cha gari lako ajifiche humo..! ahahahahahahah..!
Huyo simba ni mtoto sana nadhani dume la miaka miwili au bado, yeye angempigia kelele tuu
 
Hii ndo faida pekee ya kuwa na "kasimu" chenye kamera. Hii habari isingenoga bila picha.
 
attachment.php



Aonekani kama mtu anaegopa simba na yupo calm kumkodelea macho simba something tells me ni mtu ambaye yupo trained na maswala ya wanyama pori.

Lets face it tukikutana na simba like that huo muda wa kushuka kwenye piki piki huko wapi hadi mtu akupige picha.
 
Bodaboda haturudia kupita hapo atapanda magari.

Boda Boda huyo alirudi tena njia hiyo hiyo huku akiwa amembeba abiria! Mimi nilikuwa mmoja wa watu waliokuwa kwenye huo msafara wa magari mawili na ndio tulioshangazwa na hilo tukio tukaamua tupige picha hiyo. Aidha, hakukuwa na purukushani yoyote kati ya Simba na Boda Boda!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom