miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
We wasema, utakosa mume hivi hivi!
Hee nisamehe sana
We wasema, utakosa mume hivi hivi!
Ilitokea ghafla katika barabara ya Makongolosi kuelekea Rungwa mkoani Mbeya. Ghafla kwenye kona mnyama simba kakutwa kajipumzisha katikati ya barabara eneo la pori la simba.
Wakati magari yakiwa yamesimama, mara Bodaboda akatokea na bila kujua akataka kuyapita kwa kasi (kuchepuka) ndipo alipokutana uso kwa uso na mnyama huyo hatari. Hata hivyo aliweza kugeuka na kukimbia wakati na simba naye akanyanyuka na kuingia porini.
View attachment 227826View attachment 227827View attachment 227828
Alivaa 'jezi' za msimbazi akidhani simba atamuelewa kama ndugu!
Hapa ningekuwa mimi ningezimia aisee maana muoga kinyama, mnyama mwenyewe simba!! Nilishawahi kukutana na kitimoto pori asubuhi asubuhi saa 12 wakati nakusanya kuni za kupika chai,
siku hiyo nakumbuka miguu iliishiwa nguvu nikaanguka chini bahati nzuri nilikuwa na ba'mdogo wangu akapiga ukunga ndio noah akasepa.
.........Mkuu, maeneo gani hayo ulipokutana na Kitimoto pori asubuhi asubuhi na mimi niende kuokota kuni? Daah, nimechoka kula nyama ya kitimoto wa kufugwa lol!!.Hapa ningekuwa mimi ningezimia aisee maana muoga kinyama, mnyama mwenyewe simba!! Nilishawahi kukutana na kitimoto pori asubuhi asubuhi saa 12 wakati nakusanya kuni za kupika chai,
siku hiyo nakumbuka miguu iliishiwa nguvu nikaanguka chini bahati nzuri nilikuwa na ba'mdogo wangu akapiga ukunga ndio noah akasepa.
Aisee!!!!! Dah!!!
Ndivyo walivyo vihere here huwa vinawaponza sana
Picha ya kutengeneza hakuna ukweli wowote mpiga picha alikuwa kwenye ford xlt angalia wiper zinapoishia eti napikipiki imeonekana na engine gari liko juu angemuona kwa chini sasa wapo kima kimoja na gari....zakuambiwa changanya na zako..Jkikwete.