Picha: Bodaboda na Simba uso kwa uso

Picha: Bodaboda na Simba uso kwa uso

Huyu bodaboda kifo kilikuwa kimeshamwita
 
hahahahaa! mkuu vp mlimchunguza vizuri huyo jamaaa wa bodaboda.....maana hapo lazima alijikojolea tu kama siio kujiny*a....huyo mnyama kasheshe lake ni zito balaaa
 
Kwenye nchi za wenzetu hii ni bonge la picha mkuu. ukiwa mchanja iwekee copyright la sivyo wajanja watachukua fursa.
 
Hawa boda boda sijui akili zao nani kazishika,wewe ushaambiwa ilo pori linaitwa "pori la simba" na yeye anakatiza na boda boda.

Mkuu ilo pori la simba kwanini wasiweke vibao vinavyoonyesha hatari kupita hapo kwa miguu au na boda boda?
 
Ha ha ha haaaaaa tehtehtehtethe mtoa mada leo umefanya siku yangu iwe nzuri nimecheka mpaka nimelia
 
Wengine wanaudhi tena barabara za vijijini...! wawezakuta wengine wanapiga stori tu.

Na kama wangekuwa wema (hao waliokuwa wamesimama wakisubiri simba atoke barabarani) walitakiwa wamuwashie indikiketa ya kumzuia asipite(dereva wa bodaboda)...na kama wangeona hajajari hilo walitakiwa wamsimamishe kwa kutumia mkono alipokaribia maeneo hayo. Lazima unapokuwa barabarani usaidie na kuimarisha salama na maisha ya watumiaji wa barabara wa kada zote (watembea kwa mguu, dereva bodaboda na kadhalika).

Mimi sitashangaa ikija kugundulika kuwa kwenye tukio hilo ni gari moja tu lilikuwepo mahali hapo na mwendeshaji wa gari hilo alishindwa kumpa tahadhari dereva wa bodaboda ili apate nafsi ya kupata picha ya kurusha kwenye mtandao kama hapa JF...!

Watu wamerukwa na utu siku hizi.

Hoja yako ni nzuri sana...lakini unawafahamu vizuri waendesha bodaboda wewe...!!?? Hawa jamaa mostly ni wabishi na muchknows.
Unaweza mpa ishara zote na bado akakuona pimbi tu...Uliza madereva wenzako wanaopambana nao barabarani kila siku ndo utajua tunachokisema...
Lakini pia inategemea alikuwa na mwendokasi kiasi gani...!!

Tafakari...
 
Wengine wanaudhi tena barabara za vijijini...! wawezakuta wengine wanapiga stori tu.

Na kama wangekuwa wema (hao waliokuwa wamesimama wakisubiri simba atoke barabarani) walitakiwa wamuwashie indikiketa ya kumzuia asipite(dereva wa bodaboda)...na kama wangeona hajajari hilo walitakiwa wamsimamishe kwa kutumia mkono alipokaribia maeneo hayo. Lazima unapokuwa barabarani usaidie na kuimarisha salama na maisha ya watumiaji wa barabara wa kada zote (watembea kwa mguu, dereva bodaboda na kadhalika).

Mimi sitashangaa ikija kugundulika kuwa kwenye tukio hilo ni gari moja tu lilikuwepo mahali hapo na mwendeshaji wa gari hilo alishindwa kumpa tahadhari dereva wa bodaboda ili apate nafsi ya kupata picha ya kurusha kwenye mtandao kama hapa JF...!

Watu wamerukwa na utu siku hizi.

Mkuu we kama ni dereva wala usingesema hivyo... Patience barabarani ni muhimu sana kwa dereva yeyote makini lakini umeshuhudia wangapi wanasababishaa ajali kwa kujifanya wanaharaka na kuona wengine wote wajinga tu?

Na hawa wabodaboda unadhani wanamuda wa kusubiria hata ukimuonesha ishara wakati upenyo wa kupita yeye anauona? Au ulitaka washuke wamsimamishe?

Na wengine hata honi za magari hawaziskii wanavaa earphones sasa utawasaidiaje na wao wanajiona professional?
 
ha ha ha akifika kijiweni lazima ajikague haja kubwa/ndogo zilimtoka si bure
 
Hivi kilicho mpa huyo simba ujasiri ninini maana gari liko mbele yake haliogopi na hio pikipiki ilivyomsogelea hata hakuogopa, sijui wana nini hawa
 
Jamaa wa bodaboda uko aliko atakuwa haamini anaona kama ndoto vile.
 
Wengine wanaudhi tena barabara za vijijini...! wawezakuta wengine wanapiga stori tu.

Na kama wangekuwa wema (hao waliokuwa wamesimama wakisubiri simba atoke barabarani) walitakiwa wamuwashie indikiketa ya kumzuia asipite(dereva wa bodaboda)...na kama wangeona hajajari hilo walitakiwa wamsimamishe kwa kutumia mkono alipokaribia maeneo hayo. Lazima unapokuwa barabarani usaidie na kuimarisha salama na maisha ya watumiaji wa barabara wa kada zote (watembea kwa mguu, dereva bodaboda na kadhalika).

Mimi sitashangaa ikija kugundulika kuwa kwenye tukio hilo ni gari moja tu lilikuwepo mahali hapo na mwendeshaji wa gari hilo alishindwa kumpa tahadhari dereva wa bodaboda ili apate nafsi ya kupata picha ya kurusha kwenye mtandao kama hapa JF...!

Watu wamerukwa na utu siku hizi.

Khaaa.. mbele ya simba utatoa mkono? Si ajabu hata waliokuwemo kwenye hilo gari hali ya hewa ilichafuka...Kukutana na simba maeneo ambayo hukutegemea sio mchezo. hao jamaa wa bodaboda unawafahamu au unawasikia? Wana akili zinazowatosha wao tu, kama hawajali trafic light itakuwa taa za gari?
 
Ashukuru huyo simba pengine ni mzee au ni mgonjwa, angepata cha mtema kuni.
 
Hahahhaa animecheka sana sana ila ni hatareeeeeee, sipati picha jinsi alivyofunga breki dah, kifo sijui kina siri gani aiseee

Nina Uhakika Iwe Isiwe Alipofunga Tu Breki Lazima Alijamba Na Kutoa Kidooooooogo Big Haja Na Nahisi Alipofika Kwake Breki Ilikuwa MSALANI.
 
Wengine wanaudhi tena barabara za vijijini...! wawezakuta wengine wanapiga stori tu.

Na kama wangekuwa wema (hao waliokuwa wamesimama wakisubiri simba atoke barabarani) walitakiwa wamuwashie indikiketa ya kumzuia asipite(dereva wa bodaboda)...

na kama wangeona hajajari hilo walitakiwa wamsimamishe kwa kutumia mkono alipokaribia maeneo hayo. Lazima unapokuwa barabarani usaidie na kuimarisha salama na maisha ya watumiaji wa barabara wa kada zote (watembea kwa mguu, dereva bodaboda na kadhalika).

Mimi sitashangaa ikija kugundulika kuwa kwenye tukio hilo ni gari moja tu lilikuwepo mahali hapo na mwendeshaji wa gari hilo alishindwa kumpa tahadhari dereva wa bodaboda ili apate nafsi ya kupata picha ya kurusha kwenye mtandao kama hapa JF...!

Watu wamerukwa na utu siku hizi.

Inaonekana hujawahi kuendesha gari mijini. Hawa jamaa(boda boda) huo muda wa kuangalia "indicators" za gari mbele yao achilia kuheshimu sheria za barabarani na vitu kama hivyo hawana,

Ndio maana utazikuta pikipiki(zimeharibika) kama mlima kwenye vituo vya polisi, na wamelezwa pale muhimbili kama utitiri na ma "antena" kila mahali, tena chini.

MucheTZ
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom