Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,615
- 3,484
Nawashukuru kwa michango mizuri. Hiyo ni picha halisi ya tukio.
Naunga mkono hoja hata mimi nilikuwepo kwenye huo msafara wa magari mawili wala si photoshop kama wengine wanavyotaka kuamini!
Nawashukuru kwa michango mizuri. Hiyo ni picha halisi ya tukio.
Huu uwongo haufanani ukweli kwa hiyo aliondoka akarudi tena akawakuta nyie mnasubiri dereva mwingine apite mpige picha?Boda Boda huyo alirudi tena njia hiyo hiyo huku akiwa amembeba abiria! Mimi nilikuwa mmoja wa watu waliokuwa kwenye huo msafara wa magari mawili na ndio tulioshangazwa na hilo tukio tukaamua tupige picha hiyo. Aidha, hakukuwa na purukushani yoyote kati ya Simba na Boda Boda!
Hapa ningekuwa mimi ningezimia aisee maana muoga kinyama, mnyama mwenyewe simba!! Nilishawahi kukutana na kitimoto pori asubuhi asubuhi saa 12 wakati nakusanya kuni za kupika chai,
siku hiyo nakumbuka miguu iliishiwa nguvu nikaanguka chini bahati nzuri nilikuwa na ba'mdogo wangu akapiga ukunga ndio noah akasepa.
Ila watu wanakosea sana kujumuisha boda boda wote kwenye kapu moja! Kuna bodaboda wengi tu wana busara kuliko hata hao wanaoendesha magari hususani wale wa vijijini.
Waendesha bodaboda wote wana akili za kichina kama hizo bodaboda wanazoendesha
hahaha!Hapo mara kiwese kimuishie
ukunga ni ule mkiaa WA mgangaaa inawezekanaa ndio huoo..
Ukikuta wanakimbia!!!!!!!!!!!!!!?Akiri za waendesha bodaboda bwana....weee umekuta wenzako wawili watatu wamesimama, hata kujiuliza kulikoni hakuna...